Anayoyafanya mumewe anataka nimfanyie yeye

Wale ambao hatujaoa tusikate tamaa sababu ya huyu samaki aliyeoza, siku hizi samaki mmoja akioza unamchomoa na kutupa jalalani wanabaki wazima pekee.
 
Unaweza kuta huo ni mtego wamepanga na jamaa yako wanakupima kama unaurafiki naye wa kweli au wa kinafki.
 
akili kubwa,umeongea maneno ya busara mno
 
Wewe jamaa achana na huyo mwanamke kwani anataka kutengeneza uadui wa hatari kati yako na rafiki yako!!!! Kuna kifo hapo Ohoooooooh!!!!!!! Epuka mke wa mtu ni sumu ya hatari sana.
 
Mjibu nawewe huwa huachi hela,hivyo bora mumewe kuliko wewe
 
Aisee

Huyo mwanamke atulize akili anayotaka kuyafanya yatakuwa majuto ya baadae..nawe jitahidi umuepuke shetani..
 
Huyu anataka kumkomoa mumewe hivyo ukigusa tu hesabu urafiki wenu utaisha mwezi mrefu, maana atafajya kila njia mumewe ajue umemla
 
Huo ni mtego wa panya mtu.unapimwa akili mzee. Iyo idea itakuwa ya rafiki yako. Be warned.
 
Binadamu ni kiumbe complex sana, nadhani kuliko viumbe wote duniani. Nitajitahidi kusoma viumbe baadhi kujua complexities walizonazo, ila kwa sasa binadamu anaweza kuwa the most complex creature on planet earth.
 
huo ni mtego wa kufanywa uwe fukara mtu kapanga mipango na mkewe that us ( POVERTY TRAP)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…