Andaeni malalamiko yenu mapema kabisa kabla ligi haijaanza muyawasilishe pale TFF

Andaeni malalamiko yenu mapema kabisa kabla ligi haijaanza muyawasilishe pale TFF

Song of Solomon

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
2,752
Reaction score
5,609
1 Andaeni mararamiko yenu mapema kabisa kabla ligi haijaanza muyawasilishe pale TFF!

2 Mwaka huu tunachukua makombe yote mpaka na kale kakombe ka ndodo ka mapinduzi halaf tuone kiburi chenu kilipo

3 Cc tushaanza mazoezi ya pre season ninyi mnazurura Morocco ya Buza halaf baadae muanze kulalamika TFF yote ni Simba

4 Simba tunashusha vifaa vya maangamizi (akiwemo na Bob Marley Kibu[emoji1787][emoji1787]) ninyi mnaleta wakongomani wakata mauno mnataka kuanzisha bendi ya bolingo?

Ligi ilipoanza moto ukawawakia kidogo[emoji2][emoji2][emoji2]

6 Hilo sahani la ngao ya jamii nalo kombe sasa hilo, sahani tu hilo. (Wakati mwanzoni walisema watabeba makombe yote[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2])

7 Yanga wanaongozaga ligi hivihivi mwisho wenye kombe tunachukua

8 Round ya pili Yanga watakata moto simba tunachukua kombe mapema tu.
9 kwa Mkapa hatoki mtu

10 wakaokota kombe la mapinduzi, c mmeona tulisema tunayachukua makombe yoteee, tumeanza na mapinduzi mtatueleza vzr mwaka huu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

11 Sakho hatari Anatakiwa Ufaransa wanamhadili kwenye TV za Ufaransa! Mawakala wapo Nchini kumfuatilia Sakho.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ghaflavwakafukuza kocha wakaleta mpanga koni mpya
  • Tunashusha bonge la kocha kutoka Madrid,
  • Alifanya kazi na Zidane
  • Anahusudu soka la kushambulia kama nyuki wa asali
*kwa kocha vilio Sasa Basi zitapigwa tik tak kwa mkapa mpaka mshanfae
*Pablo ana kikosi cha majini na Nchi kavu.

Ghafla mambo yakawabadilikia wakaanza kulalamika wao[emoji16][emoji16][emoji16]

12 wakuu wa mikoa wanahonga pesa ili Simba ikamiwe,

13 Gsm wanahonga sana wamezidi sasa cyo poa[emoji2][emoji2]

14 Tunataka fair competition (Hapa waliongozwa na waandishi wao uchwara waandishi wa mchongo kina Jemedari Said, Dauda, Ali Kamwe, Edo Kumwembe n.k)

15 Tff wanaiandaa Yanga kuwa bingwa

16 Tutahamia Zambia

17 Angekuwa anaongoza ligi mwingine tofauti na yanga tungeshituka, lakini kwavile anaeongoza ni Yanga, aaa kombe ni letu!

18 Cc tunachukua kombe la CAF Confederation nyie pambaneni na kombe la mbuzi.[emoji2][emoji2][emoji2]

19 Ligi ni dhaifu
20 Matumaini yetu ni kombe la FA, Yanga wasijipendekeze tunakwenda kuwafanya vibaya pale kirumba(mwisho wa cku kombola la Faitoto limefukuzisha mpanga koni wa Madrid ya mchongo)[emoji2][emoji2][emoji2]

21 tumekuwa tunafukuza mskocha bila sababu.
22 Babra anazereu sana anawazidi nguvu wajumbe hatumtaki,
Kigwangara nae anadai B20 za mchongo ziko wap,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
23 *IYALAAA KOCHA HATUMTAKI PIRA LAKE HATULIELEWI MAJERUHI YAMEKUWA MENGI AONDOKEEEEE, MWISHO KOCHA LA MADRID LENYE PIRA LA KUSHAMBULIA KAMA NYUKI KAFUKUZWA. NA HII NDO MAANA HALISI YA MBUMBUMBU ALIYOISEMA RAGE!
Kifupi safari ilikuwa ndefu mnoo, THE RETURN OF CHAMPIONS imewavuruga sanaaa na bado wananchi hapo tupo kwenye DIBAJI tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
IMG-20220607-WA0000.jpg
IMG-20220606-WA0166.jpg
 
Majigambo kwenye soka huwa yapo tu ni kawaida sana labda uwe mgeni wa haya mambo ndo utaona hajabu.
 
Majigambo mengine ya kwenda kuweka kambi marekani,walijitamba sana watani Shadeeya ,nashangaa hadi hii leo kimya na makolo hata kumuulizia mudi kuhusu safari wanashindwa!
 

Attachments

  • 20220607_145622.jpg
    20220607_145622.jpg
    103.2 KB · Views: 14
Ndo Soka Lilivyo.... Karibuni Kimataifa.

Kwani Utopolo Mnaanzia Round gani.?
 
hahahha kocha anahusudu kabumbu la kushambulia kama nyuki wa asali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Saiv Wamebaki Kushangilia Kampeni Ya Nani Zaidi [emoji23][emoji23]
 
1 Andaeni mararamiko yenu mapema kabisa kabla ligi haijaanza muyawasilishe pale TFF!

2 Mwaka huu tunachukua makombe yote mpaka na kale kakombe ka ndodo ka mapinduzi halaf tuone kiburi chenu kilipo

3 Cc tushaanza mazoezi ya pre season ninyi mnazurura Morocco ya Buza halaf baadae muanze kulalamika TFF yote ni Simba

4 Simba tunashusha vifaa vya maangamizi (akiwemo na Bob Marley Kibu[emoji1787][emoji1787]) ninyi mnaleta wakongomani wakata mauno mnataka kuanzisha bendi ya bolingo?

Ligi ilipoanza moto ukawawakia kidogo[emoji2][emoji2][emoji2]

6 Hilo sahani la ngao ya jamii nalo kombe sasa hilo, sahani tu hilo. (Wakati mwanzoni walisema watabeba makombe yote[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2])

7 Yanga wanaongozaga ligi hivihivi mwisho wenye kombe tunachukua

8 Round ya pili Yanga watakata moto simba tunachukua kombe mapema tu.
9 kwa Mkapa hatoki mtu

10 wakaokota kombe la mapinduzi, c mmeona tulisema tunayachukua makombe yoteee, tumeanza na mapinduzi mtatueleza vzr mwaka huu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

11 Sakho hatari Anatakiwa Ufaransa wanamhadili kwenye TV za Ufaransa! Mawakala wapo Nchini kumfuatilia Sakho.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ghaflavwakafukuza kocha wakaleta mpanga koni mpya
  • Tunashusha bonge la kocha kutoka Madrid,
  • Alifanya kazi na Zidane
  • Anahusudu soka la kushambulia kama nyuki wa asali
*kwa kocha vilio Sasa Basi zitapigwa tik tak kwa mkapa mpaka mshanfae
*Pablo ana kikosi cha majini na Nchi kavu.

Ghafla mambo yakawabadilikia wakaanza kulalamika wao[emoji16][emoji16][emoji16]

12 wakuu wa mikoa wanahonga pesa ili Simba ikamiwe,

13 Gsm wanahonga sana wamezidi sasa cyo poa[emoji2][emoji2]

14 Tunataka fair competition (Hapa waliongozwa na waandishi wao uchwara waandishi wa mchongo kina Jemedari Said, Dauda, Ali Kamwe, Edo Kumwembe n.k)

15 Tff wanaiandaa Yanga kuwa bingwa

16 Tutahamia Zambia

17 Angekuwa anaongoza ligi mwingine tofauti na yanga tungeshituka, lakini kwavile anaeongoza ni Yanga, aaa kombe ni letu!

18 Cc tunachukua kombe la CAF Confederation nyie pambaneni na kombe la mbuzi.[emoji2][emoji2][emoji2]

19 Ligi ni dhaifu
20 Matumaini yetu ni kombe la FA, Yanga wasijipendekeze tunakwenda kuwafanya vibaya pale kirumba(mwisho wa cku kombola la Faitoto limefukuzisha mpanga koni wa Madrid ya mchongo)[emoji2][emoji2][emoji2]

21 tumekuwa tunafukuza mskocha bila sababu.
22 Babra anazereu sana anawazidi nguvu wajumbe hatumtaki,
Kigwangara nae anadai B20 za mchongo ziko wap,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
23 *IYALAAA KOCHA HATUMTAKI PIRA LAKE HATULIELEWI MAJERUHI YAMEKUWA MENGI AONDOKEEEEE, MWISHO KOCHA LA MADRID LENYE PIRA LA KUSHAMBULIA KAMA NYUKI KAFUKUZWA. NA HII NDO MAANA HALISI YA MBUMBUMBU ALIYOISEMA RAGE!
Kifupi safari ilikuwa ndefu mnoo, THE RETURN OF CHAMPIONS imewavuruga sanaaa na bado wananchi hapo tupo kwenye DIBAJI tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 2253955View attachment 2253956
We mtu ni malalamiko!
 
Bahati nzuri mtoa kauli hiyo mnamfuga wenyewe. Alishawafanya kama mazuzu . Majuzi Kati hapa kawadanganya mtaanzia raundi ya pili klabu bingwa na ninyi mkakubali kama mazuzu vile.
 
"Sakho tunakujue umevaa kinyago wewe ni Messi" by KoloWizard 6
 
Back
Top Bottom