Andika chochote ukianza na neno Wajumbe. Wa mwisho atakua mshindi, zingatia kutoandika matusi

Wajumbe wote wa mkutano mkuu wako chini yangu ww shona suti kijana ukisubiri kuapishwa... ila sasa usisahau mdogo wako wamekwatwa boom chuoni jaribu kuweka mambo sawa
 
Wajumbe darasa la saba wakinikusanya wanakua na akili
 
Huenda wajumbe ndo wale jamaa wasiofahamika maana sio kwa roho zile
 
[SUB]mjumbe ana kiatu kikali[/SUB]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…