Andika hapa pumba yeyote uliyoisikia lakini ukifikiria inaleta maana katika maisha yako

Satuuuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2015
Posts
1,849
Reaction score
1,993
Wakuu habari zenu,

Hii ni thread huru kwa yeyote kuandika maneno ya pumba aliyowahi kukutana nayo lakini ukiyatafakari unaona yanaleta maana fulani katika jamii ya leo.

Mimi naanza na niliskia Leo kutoka kwa msaidizi we kazi hapa home ambayo ni 'yeye katika mwezi ni lazima ampige au kumgombeza mke wake hata kama hakuna kosa ili kuleta heshima na nidhamu katika ndoa yake'.
 
Kuna akili nenez na akili nyembamba...ahahaha you know.
 
  • Huu uzi nao pumba tu.
  • Na naona wazee wa pumba wanatiririka pumba zao
 
Kila ninaponyanyua chuma huwa napata hisia kama namwaga (napizi) vile. Nikiwa kwenye steji nikipozi, namwaga.
Kila ninapokaa najihisi namwaga, ninajisikia vizuri sana. - Arnold
 
Nakupenda satuuuuuu
 


Wasanii wa bongo fleva wote ni punda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…