Baba ilumba
Member
- Apr 18, 2020
- 37
- 49
WAP mkuu sifany biashara hizo mm ni kujifurahisha tuu ka VP andika hata kwa kilugha chenuπIli udese ukauze halafu sisi tulale njaa....[emoji12][emoji12][emoji12]
Baby kuna mvua jua halionekani, ila bado lipoo
Japo tupo mbali wala hatuonani, mapenzi bado yapoo
Naweza sahau jina langu, ila sikusahau wewe
Wa kwanza ni mama yangu, ila wa pili ni wewe
Ruksa kamba nifungee, nisitembeee
Ninachotaka ujichunge, wasiniibiee
Nikichukua hii yako nikachanganya na mistari yangu nikabeba tena ya wadau wengine naingia studio kutoa ngoma, sasa nyie endeleeni tu me nawachora tu.Naaanza Mimi
Ni asubuhi nimeaamka Mara pa
Naona ka sijielewi duuh
Kumbe ni J3 mitungi ya Jana
Imenichanganya ndo mana hata sielewi
Ni noma kwenda mbele siunajua tena wasela ndo ivo ππππππ
Tupieni na yenu wakuu tuchekane humu najua wengine sio watunzi wazuri kama nilivyo mm tu ila shuka tu