Hayo mambo ya private hayana tija umpati MTU tumia njia nyingineMimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
Kwa hiyo ukitujua unafaidika nini. Humu marufuku kujuana kawaambie waliokutuma kuwa hatuna mpango wa kujuana. Kamtafuteni aliyempiga lissu na azory, saaanane warudishwe.Mimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwishowe mtataka na majina yetu