Mimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Kweli Kaka ujue.Ahaàaaa haaaaa
HahaaaaaaKibiti moja maeneo yale walipo uawa ma askari police ndipo napo kaa
Kwakweli dada aende pm"""wewe mzima da emmytaKweli Kaka ujue.
Sababu huko PM, Picha, namba za Simu na kila kitu akitaka atapewa. Kauli zake tu.
Kaka kumbe sie majirani bwana. [emoji85]Nipo kungulyambashashi mitaa ya kuelekea gamboshiii
Dada mtaa wetu wa Namtumbo ataujua kweli[emoji14] [emoji14]Si uende PM. Hahahaaaa.
Nilikuwa huko juziNipo kungulyambashashi mitaa ya kuelekea gamboshiii
Heee dada sema ulikua hujui tu""""njoo hapa nshakuagizia nyama ya mbuzi choma na kiporoKaka kumbe sie majirani bwana. [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ungenishtua ingependeza maana huku mtu akija arudiiiNilikuwa huko juzi