Andika usichokipenda humu JamiiForums

Mh! Nyie watu mna hatari sana. Mnachukua na ushahidi kabisaaaa. Nyie si wa mchezo mchezo LOL! Eti njemba inaitwa chura hahahahahahaha Mungu anawaona nyie shauri yenu ila Shunie umenichekesha sana LOL!
Ahahah kaka acha tu
 
Watu walivyo na wivu sasa watasema nyie ni id moja,,humu tuna wivu sana
Aahhh watu , walotumika wakaachwa wakatumikaaaaaaa wakaachwaaaaa wakatumikaaaaa tenaa wakaachwaaa.

Huwa wanakua namatatizo ya kisaikolojia ,,hawaaminigi tena kama kuna mapenzi ya dhati !! Kwao kilichobaki ni kuishi kwa "Bahati".

Sasa iwe ID za mtu mmoja nifaidike nann?? Na kwann nistulie nikapata mwanamke??.

Ona kwaufupi niivi ,, Mima namkubali sana ,, nakwasabab napenda kua Open kimahusiano ndo maana unaona tuko km kumbikumbi !!. Nahiii naifanya sababu ,Sihitaji kua kimahusiano na mwanamke mwingine nje yake yeye !!.

Hawanisumbui hao ,, sisumbuliwi nawat waloshindwa!!.
 
Mim ndio maana siku hizi nawadharau tu yaan umenifundisha kitu
Eehhh Weee wadharau tuu ...as long as sio kitu hawakuongezei hawakupunguzii kitu dharau tuuuu !!.

Mie sijawahi kuwa nasiku mbaya sababu najua kuwaishi watu vile wanavyotaka niwaishi !!..

Ukileta dharau hapa utazikimbiaaaa.
Ukileta ungwana ,nakupa uungwana
 
Safi Vipi Umewasamehe Tiali Au Utaweka Screen Shot Hapa
Shida moja nilonayo ni Huruma ? .. Humu najua kuna watu wanayao ,sasa kila nikitakaga kuziweka roho inaniuma .

Kamtafute ,Mshipa ,,uyu mkuu kidogo anaweza kukuambia !!..

Tatizo nawaonea huruma tuuu , alafu nikikaa kimya wananiona Boya sanaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu na viatu aiseee !!


Ila usinichukie maana sichukiwagi ,ukinichukia unajipa bonge lakazi mnoooo maana mtu unayemchukia kajaa dharau !!.
 
Mh! Nyie watu mna hatari sana. Mnachukua na ushahidi kabisaaaa. Nyie si wa mchezo mchezo LOL! Eti njemba inaitwa chura hahahahahahaha Mungu anawaona nyie shauri yenu ila Shunie umenichekesha sana LOL!
Kuna mwingine mbuzi sio chura tu
 
Reactions: BAK
Eti wanasema kuna muda unafika mnabadilishana akaunti ,mi siamini ujue nikawaambia ni wivu tu huo kwa vile yao yamebuma wanataka na mima yabume,,wanawake wa jf wama wivu leo nimegundua hili,,putin wa urusi wanakuonea wivu hawa watu walioshindwaa kaa nao kwa makini mkuu
 
Putin una huruma kweli ila siku moja tuanike tu tushike adabu,,au tutumie pm tuone haya mauchafu,,wivu mbaya sana yaan wewe kuwa na mima ndio matatizo yote haya mpaka Trump anakuchukia khaaa
Naamin watashindwaa ,simama kidete we mwanaumee
 
Halaf putin hata likes hawakupi hivi kweli mbona mpo hivyo wana jf ,,si na nyir muwe mna kapo zenu na badoo mtaumia sanaaa putin keshafika kwa mima katua mzimaa mzimaaa na mnaotuma pm kwa mima mtaanikwaa
 
Putin una huruma kweli ila siku moja tuanike tu tushike adabu,,au tutumie pm tuone haya mauchafu,,wivu mbaya sana yaan wewe kuwa na mima ndio matatizo yote haya mpaka Trump anakuchukia khaaa
Naamin watashindwaa ,simama kidete we mwanaumee
Kuna wawili , niliwatumia PM... Mpaka Leo niwaoga sana ,, wakinisema wanaogopaga hata kunitaja jina.l[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo maana nimewambia tatizo niwaoga !!.


Ila serious ,,Sasa Mima kanipa Ruhusa ,, Kuna wanawake wawili ,, Nataka niwatmie km mfano ,,nataka niwatumie km mfano ili Watu waamini ambacho huwa nakizungumza ...the reset watafuata mdogo mdogo.
 
Halaf putin hata likes hawakupi hivi kweli mbona mpo hivyo wana jf ,,si na nyir muwe mna kapo zenu na badoo mtaumia sanaaa putin keshafika kwa mima katua mzimaa mzimaaa na mnaotuma pm kwa mima mtaanikwaa
Hakika ,ila kwa Mima nilikata kasi kabisa ,kumbe wengine wapo wanakuja mguu mmoja ndani mwingine nje !!.

Weee kwa mschana Wangu huwa sitaki ujinga Wa aina yoyote .


Usijali ,,mie sitaki cha "Likes" wala nn.. Ndo maana wapo nilowambia mkiona nyuzi zangu zozote msifungue wala kuzisoma ...alafu siandikigi kutafuta likes ..Ivi likes zinakuongezea nn ??.
 
1. Sipendi wakaka wanaoringa ukiwaibukia pm kuwaimbisha
2.Sipendi wadada wachoyo wasiotaka tushee wapenzi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…