Andika usichokipenda humu JamiiForums



Saa Kumi na moja Hii. Ngoja Putin Aamke Atume Screen Shots Tuanze Kuwadharau[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji793] [emoji793] [emoji793] [emoji793] [emoji793]
 
Leo nimekubamba unafuraha kweli kweli aunt? ashukuriwe Molla
Kweli kabisa hatuna budi kumshukuru kwa kutupa uzima na afya tele.

Niambie za kujichimbia, sababu kitambo sana ujue, Mzima?
 
Sipendi tabia ya watu kuonana live kisha kuja humu kuanzisha thread za kuanikana!

(Ya mtaani yabaki mtaani, ya PM yabaki PM)
Hahaaaa . mkuu ww ni muhanga Wa hyo kitu?
 
Hahaaaa . mkuu ww ni muhanga Wa hyo kitu?
Bahati nzuri sana sinaga mazoea na wanaJF nje ya majukwaa kama haya, hivyo mimi si mhanga ila huwa sipendi kuona uzi wa kusemaTrump tower yuko hivi na vile. Huo ni umbea na mimi sipendi umbea
 
Kweli kabisa hatuna budi kumshukuru kwa kutupa uzima na afya tele.

Niambie za kujichimbia, sababu kitambo sana ujue, Mzima?

Nzuri tu maana huu mwaka sitaki shari na ban za mara kwa mara

mi mzima aunt. Ngoja nikajenge taifa ciao
 
Nzuri tu maana huu mwaka sitaki shari na ban za mara kwa mara

mi mzima aunt. Ngoja nikajenge taifa ciao
Hiyo iko poa sana uncle , ikiwa mwaka huu umeamua kuja kivingine.

Usijali uncle uwe na ujenzi mwema wa Taifa na siku njema pia.
 


hahha hebu nitue bas mshikaj !yaan nisicheke niicomment kisa wewe !hahaha never !niache tu aisee
 


hahahaha huo ni uongo bwana !ngumu mno jaman !mie nina amrafiki wazuri ana jaman !yaan wema mnoo
 
hahha hebu nitue bas mshikaj !yaan nisicheke niicomment kisa wewe !hahaha never !niache tu aisee
Bado nakukumbusha ,Kua Muungwana !!.. Napokaa kimyaa haimanishi siwezi kukujibu au siwezi kukuponda pale patakapokuumiza !!.

Narudia ,embu Fanya kunitoa ktk mdomo naakilinyako ,,ufanye mambo yako ,,bilashaka unamengi yakufanya humu JF .... Sasa km unamtafuta kuonekana naww ni msela ,gangstar baby ,,..endelea ,,Bahati nzur unajua Mimi ni mtoto na akili za watoto tunazijuaga wenyewe !!!.

Nakuitaji ,usizungumze lolote kumuhusu Mima nalolote Kunihusu Mimi.....tena bora ukoseee unizungumze Mimi ,,lkn SIO KUMZUNGUMZA MIMA ....I will take the bull by its horns .
 
Kinachoniudhi humu ni kupenda kufatiliana Fulani yukoje na anaishije??

Pm kutumika km majungu na vijiwe vya kusengenyana mpaka jukwaani great thinker km tuitwavyo huko nje unakuta masengenyo tuu, what a rubbish
Popote ulipo agiza chai ya rangi nakuja kulipa
 
Hahahah wewe acha uchokozi bana dina. HP wenu amesema akiamka atawachimbisha visiki vya kahawa na mkatoe mbolea kwenye banda la ng'ombe
Yaan tutaanikwaa na mitongozo yetu,,nasubiriaaa mie
 


hahaha hebu nioneshe ni wpi nimemzungumzia kapeace mie !khaaa !yaan wewe unataka kuaminisha watu kuwa tunakuonea wivu!
hahahah mie nakudharau tu !
 
Ila putin una mkwaraa ,,Mbitiyaza muke ya beira kakufanyajee
 
hahaha hebu nioneshe ni wpi nimemzungumzia kapeace mie !khaaa !yaan wewe unataka kuaminisha watu kuwa tunakuonea wivu!
hahahah mie nakudharau tu !
Mimi sio mnafiki ,, nasiupendi unafiki.

Kila mtu anayenijua Mimi NA Mima ,,akisoma moment zako wewe +demi+shunie+Dina zote zinazungumzia Mimi ,, though mmeogopa kutaja majina ,ila huo ndo ukweli.

Sitaki nasitafuti sifa mpaka useme nataka kuwaaminisha watu kua mnaona wivu ,, Hayo niyako nasijayaema Mimi ...ila Muungwana akisoma ataelewa.....

Unadhan kwann Mahondwa , Kuna mahali amesema "Putin usije ktk huu uzi " ????

Sasa niivi , Huo u gangster baby wako usikufanye ukajiona bonge lakichwaaaaa sana ....

Jaribu kujiheshimu uheshimike !!!!kila siku nawaambia ,Usitegemee kunilete ujinga ,alafu nikakaa kimya eti kisa weee mwanamke Mimi mwanamme ..noooooooo ,,hao waivo ni Akina Daby!!!.


So make sure unauchunga mdomo wako nakila mtu afanye yanayomuhusu ,Mbona ni Rahisi sana kupiga kimya ?????. Unashindwa nn ??? .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…