Hivi kwanini hutaki kukubali ni watu tofauti,,ndio maana unazidi kumuudhi putin,,siku ukianikwa shauri lako,,afanye nini uamini ni watu tofauti,,,Mbitiyaza sasa una wivu nimeamini kabisa una wivu mkubwaaa na kuanzia leomy ribs
Uamuzi nujarabu kabisa huuahhahaha ngoja nikae kimya mie !kubishana na madenti sio uungwana ujue !
Hivi kwanini hutaki kukubali ni watu tofauti,,ndio maana unazidi kumuudhi putin,,siku ukianikwa shauri lako,,afanye nini uamini ni watu tofauti,,,Mbitiyaza sasa una wivu nimeamini kabisa una wivu mkubwaaa na kuanzia leo
tena ngoja na espy aje ni hiviii
NIMEKUDHARAUUUUUUUUUUUUUUU
fundiiiii nakaa kimya !fundi wetuUamuzi nujarabu kabisa huu
Hahahaaa unajua Kapeace nn ??... Kuna watu hutumia njia ya uongo ili kujua ukweli.Kapeace, mima na Vlad ni watu watatu tofauti
Mima na Vlad ni couple halisi
Kapeace na Vlad ni couple km ilivyo wewe na Beira
Kapeace na mima ni wake wenza wa utani huku lkn katika uhalisia niseme ni partner wa rafiki yangu
Vlad namfahamu na imekuwa km bahati tumekutana humj
Acheni kuchanganya mafaili km mtu humuelewi na humtaki ni vyema kumuignore au kuwadharau msemo wa vlad
Sasa unadhani kaambiwa nani hhhaaaaaMimi ?
Alafu mbn upo interested sana na shule yangu ??? Nilishakuambia usipende kuzungumzia mambo ya elimu yangu humu majukwaan ,, hivi nikikuzungumzia kindaki ndaki hapa majukwaan ,utajisikia poa ???.
Tuliza mdomo wako basi ,,mbn najitahidi kukaa kimya lkn unanichokonoa ??? Haaaaa ?? Tulia basi ,Naukome kabisa kuzungumzia masuala ya elimu yangu humu ,upo !!!. Namm nitaanza kukuzungumzia ili tuende sawa .
Bahati nzuri hauna nisichokijua kwan 0713........633 ....hiii namba bado unaitumia ???.
Hhhhaaa unataka kumsema naniiKama Nani vileee?
Acha kuruka rukaaaa... Umesema hapo ulipo sikupati kwa chochote ....nam nmekujibu ,we maisha siumeyakuta ukubwan ?????. Sasa Mimi sijayakuta ukubwan ,maisha nmeyakuta na nitayaacha ,,Mimi naww tukaee mwaka mzima bila kufanya kazi ,, Weee hutoimili , wiki mbili tu unadaiwa vitu vinapigwa mnada na kampuni ya Yono!!!.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wewe ndo unajivika' ukuu'tena ukuu wa familia yako ! mie siwez ringia mali za wazaz wangu hata siku 1 kwanza nitakuwa limbukeni ! hahaha ngoja nsiihie hapa !nisijeonekana nakutaka au nakutongoza bure!@vladimirovich putin
Unamtakaa eee kwani uongooowewe ndo unajivika' ukuu'tena ukuu wa familia yako ! mie siwez ringia mali za wazaz wangu hata siku 1 kwanza nitakuwa limbukeni ! hahaha ngoja nsiihie hapa !nisijeonekana nakutaka au nakutongoza bure!@vladimirovich putin
Mbona hiyo namba kama yangu putinAlafu mbn upo interested sana na shule yangu ??? Nilishakuambia usipende kuzungumzia mambo ya elimu yangu humu majukwaan ,, hivi nikikuzungumzia kindaki ndaki hapa majukwaan ,utajisikia poa ???.
Tuliza mdomo wako basi ,,mbn najitahidi kukaa kimya lkn unanichokonoa ??? Haaaaa ?? Tulia basi ,Naukome kabisa kuzungumzia masuala ya elimu yangu humu ,upo !!!. Namm nitaanza kukuzungumzia ili tuende sawa .
Bahati nzuri hauna nisichokijua kwan 0713........633 ....hiii namba bado unaitumia ???.
Yani we Acha hapa Nipo Kazini nachat kwa Uchokozi ngoja Ifike Muda ya Kumi Nitaanza Kuwadharau Wote Humu Ndani. naanza Na wewe[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Hhhhaaa unataka kumsema nanii
Halaf nimegundua we bonge la mchokozii
Acha kuruka rukaaaa... Umesema hapo ulipo sikupati kwa chochote ....nam nmekujibu ,we maisha siumeyakuta ukubwan ?????. Sasa Mimi sijayakuta ukubwan ,maisha nmeyakuta na nitayaacha ,,Mimi naww tukaee mwaka mzima bila kufanya kazi ,, Weee hutoimili , wiki mbili tu unadaiwa vitu vinapigwa mnada na kampuni ya Yono!!!.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
At my Age, nilivyo vinanitosheleza kabisaa pasipo kuhitaji Msaada mwingine !!!... Achana nahiki kichwa wewe !!.
Nakojooooooooaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kojooooooooo refuuuuuuuu hhhhaaaaaaaahivi kwan kuongelea elimu yako ni dhambi gan !nakushangaaga ujue !alfu masuala ya kuntisha na namba unajua unanichekesha sn mie ! ohh kuna fala mmoja alikuja pm ohh mbiti inasemekana wewe jf kuna watu wana namba yako nusu nzima !hahaha huu ujinga !hebu pekenyua nyuzi zangu bas ndo uje uropokwe hapa !mxiew
my first thread niliweka namba zangu kwa biashara ya matunda ya strawberry hapa ! huenda ulikua bado sekondari lol !kila siku kunitisha na hyo namba !hv wew mzima kweli?? karibu kila siku napigiwa simu na watu wa jf wanahitaj strawberry sijawah wauliza umepata wapi namba coz nilizitoa mwenyewe hahaha nataman nikutukane kama mange !ila nakuacha !hahahahahaha
sitakujibu tena !
Muulize kirikuuNimefanya nini ?
Hiv shida ni nini hasa mpaka mnachimbana mikwala kiasi hiki kwanini mmoja asijifanye mjinga tu yakaisha kwani utapungukiwa nini