Andika usichokipenda humu JamiiForums

Ungekua haupendi ungeacha.
Siku nyingine jaribu kuunganisha Ulimi na Ubongo ndo Uongee !!.

Wewe unahisi ,Mimi ni mtu nayeweza kusimama pemben ,nakuwatizama watu wakijaribu kugusa masilahi yangu ????.

Endelea kua Horny.
 
Sipendi watu wanaobisha hoja za wenzao pasipo wao kuleta hoja za nguvu kuthibitisha wazo wanalolisimamia
 
Hivi ukiamua tu ukakaa kimya kuna shida gani mkuu
 
Siku nyingine jaribu kuunganisha Ulimi na Ubongo ndo Uongee !!.

Wewe unahisi ,Mimi ni mtu nayeweza kusimama pemben ,nakuwatizama watu wakijaribu kugusa masilahi yangu ????.

Endelea kua Horny.
Mie sipendi kubishana na watu ila ungekaa kimya tu
Kama kitu haukipendi.
Unafikiri ni kila mtu atakuplease humu jf kwenye jamii iliyojaa watu wa kila namna ?
Mnajuana hamjuani hayo yenu binafsi.
Kwa nini unashindwa kupishana nao ukaendelea na mambo yako binafsi au ndiyo jambo la msingi kushushuana na watu humu ndani ?
Manake kila mtu ana lengo lake la kujiunga jf.
 
Umenikumbusha mbali sana miaka hiyoooo nipo shule niko mpoleeee, bas kulikuwa na bidada mmoja mzuuuriiiii ila sasa anapenda kutia mafuta watu wakigombana yaani atachochea mafuta hadi wapigane bas yy burudani hahhaaaa
Hhhaaa ndio ka mimi hakoo
 
dina ninapigiwa simu na watu kila mtu ananiambia we ni mbiti?? aksiema hvyo najua ni jf iweje huyu aanze kujitia maneno kuhus namba yangu !hahahah jaman mie sijui unitishie kitu gan ndo niogope !mume wangu ananjiuaga vzr aisee
[emoji23] [emoji23] mshikaji wewe bana ngoja nikuache tuuu maana doooohh unatumia Nguvu nyingi sana kufanya uonekane safiiiiii[emoji23] [emoji23] ..

Sawa mkuuuuu nilichukua ktk uzi sawa eeeehhhh[emoji23] [emoji120]
 
Basi bwana tushajua mnafahamiana inatosha mambo ya kurushiana maneno humu sio poa, hamuoni mnajichoresha tu

hhaha namfaham vlad kijuu juu tu ! kuna mtu aliwaj nijia pm akaniambia vlad ana maneno mazuri na amevutiwa naye nikamshauri kihenga kuwa huyo nimtoto achana naye hahaha bi bidada akayapeleka km yalivyo !ndo chanzo cha haya maneno !alikua mshikaj hatar yaan ile ya kuitana majina mabayaa we paka upo nimekumis nyau wangu !mara muitane mbweha things like tht ! sasa bidada akamwambia nilivyomchana !hahaha vlad alikua mshikaj haipit siku msichat !sijaruka popote kuwa hakuwa mshikaji ! na nilishindwa kucope naye yeye alikua field nikawa nashindwa kuchat naye !hahah uwii
 
Hao marafiki wapenzi wasalimie sana jaman huku pm kwangu ni salaam tu zimejaa
Acha uongo wewe....PM yako umeifunga, mwaka jana wote nakubembeleza nikuhonge unaogopa. Weekend nimekupa offer nipe namba nikujazie salio umeogopa!
 
Sawa nmekuelewa ...let me stay quite !!.
 
Nimetoroka kidogo kazini

ki ukweli Vladimirovich Putin huo mtongozo wako una phd ulifaa uwe gavana wa benki. Hawa kina mbity,dina naona wanaona wivu aisehh embu watupie vile vi katuni wapoze nyoyo zao.

alafu nakuomba unifundishe mtongozo maana hapo nilishafeli na tu picha tule maana mtongoza kwa mima mpaka nimefall in love mimi
 
ptu
[emoji23] [emoji23] mshikaji wewe bana ngoja nikuache tuuu maana doooohh unatumia Nguvu nyingi sana kufanya uonekane safiiiiii[emoji23] [emoji23] ..

Sawa mkuuuuu nilichukua ktk uzi sawa eeeehhhh[emoji23] [emoji120]
 
[emoji23] [emoji23] mshikaji wewe bana ngoja nikuache tuuu maana doooohh unatumia Nguvu nyingi sana kufanya uonekane safiiiiii[emoji23] [emoji23] ..

Sawa mkuuuuu nilichukua ktk uzi sawa eeeehhhh[emoji23] [emoji120]
Kwani MBITIYAZA mchafu mno humu ee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…