Andika usichokipenda humu JamiiForums

 
daahh kuna baadhi ya watu umewagusa but hiyo sentensi ya mwisho hapo wamsema money penny bila shaka alipigwa ban yule...kusema kweli Tania yake ile haikuwa njema
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ mkuu umenigusa na Huyo Mane peni. Tulipigwa ban Wote Siku hyo. Yeye akija kwenye Uzi Wa Watu anapost Link ya Uzi wake.
 
Soma uelewe Mada mtoa post amezungumzia kero za humu jf unaposema hupendi wanaume katika hii dunia inamaanisha hadi babako yani ndo tafsir yake
Wewe ban inakuita. Maana sikuhizi ukitaja baba au mama mods wanatega masikio kama punda πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
hahaaaa..sasa kama mzazi wake wajinsia yake mwenza alibakwa ndio akapatikana yeye utayajulia wapi hayo mkuu...wacha atuchukie tu
Mkuu Unamchokoza mtu eeehhh πŸ˜€
 
hahaaaa watu wa humu daaahh Jf sihami manina ..sipndi umbea but huu wahumu umevuka viwango vyote nahisi huwa inakuwa na muihuri ya TBS..daahh hahaa
Mkuu huo ndio Ukweli iLa Tumeacha Kitambo Tu
 
Unaomba kitu cha maana ushauri ila mwenzako anakwambia badili kwanza avatar yako ili upate majibu mazuri.
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ wewe kweli Unastahili Kubadili Id Kwanza
 
kwakweli ilinibidi nikae Kitano kabisa...maana kuna maneno ya shombo humu..kuliko hata shombo lile LA feri..hahaa
Mkuu Endelea Kuyafukua Nakupa Na Fanta Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…