Andika usichokipenda humu JamiiForums

hahaha.msiniambie "" kuwa mmeufufua upya huu Uzi....wapi puttin!!
Weee alikuwa anatufukuzaaa juzi hapa kaniambia zamu yangu maana nilikuwa nampelekesha sana zamani hadi inabidi aniunge mkono mtu kwa lazima,kaniambia nikae vizuriii
 
Sipendi hii tabia ya baadhi ya wanaume humu kutuandikia uzi wa kutuponda tu..hivi hatuna jema hata moja?..

Tabia ya mtu kukufanya anakujuaaaa..mxiuuuuuu

Wanaume kujisifusifu kifala..aaarghhhh hata hainogi
 
mimi nachukia wadada wote maana hamna alie kuja hata inbox kuni salimu tu
 
Weee alikuwa anatufukuzaaa juzi hapa kaniambia zamu yangu maana nilikuwa nampelekesha sana zamani hadi inabidi aniunge mkono mtu kwa lazima,kaniambia nikae vizuriii
Vipi putin hajakurudia tena muanzishe bifu[emoji3][emoji3]
 
Sipendi hii tabia ya baadhi ya wanaume humu kutuandikia uzi wa kutuponda tu..hivi hatuna jema hata moja?..

Tabia ya mtu kukufanya anakujuaaaa..mxiuuuuuu

Wanaume kujisifusifu kifala..aaarghhhh hata hainogi
Lisemwalo lipo. Kama mnasemwa wachafu ujue wapo hao wachafu hata km cy ww.

Kujisifu kakukula ujue umeliwa kweli[emoji3][emoji3][emoji3]
 
comments za Shule zinafunguliwa lini
 
sijui niwataje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…