Andiko la Kibiblia na uhusiano wa kupatwa kwa jua na mwezi

Andiko la Kibiblia na uhusiano wa kupatwa kwa jua na mwezi

Ramp Agent

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
272
Reaction score
194
Salaamu wanaJf

Matukio ya kupatwa kwa jua na mwezi yamekua yakielezewa kisayansi zaidi wataalamu wa elimu ya jiolojia (Geology)
wamekua wakitoa prove za kisayansi wakati gani na kwanini haya matukio yakitokea.

Leo nitajaribu kuhusisha andiko la biblia na tabia (character) ya kupatwa kwa mwezi na jua vinapotokeo. Binafsi sio mtaalamu wa theolojia (theology) wala jiolojia (geology).

Kwenye kitabu cha biblia Yoeli sura ya 2 mstari wa 30-31(Yoeli 2:30-31) imeandikwa

"30 Nami nitaonyesha mambo ya ajabu katika mbingu na katika dunia, damu, na motor, na minara ya moshi.
31 Jua litageuzwa kuwa giza, na mwezi kuwa damu, kabla haijaja hiyo siku ya BWANA iliyo kuu na itishayo.'

Ikumbukwe kila andiko lenye pumzi ya Mungu ya fahaa kwa mafundisho (2Timotheo 3:16)

Hapa tunaweza kujifunza kumbe tukio la kupatwa kwa jua au mwezi ni jambo la ajabu ambayo dunia imekua ikishangaa na si jambo la kisayansi pekee ata Mungu alishaviongelea.
1473056551363.jpg

Kama kitendo cha kupatwa kwa jua na jua kua giza
1473056637198.jpg

Na kupatwa kwa mwezi na mwezi kua kama damu

Na wasilisha napendelea tuchangie kwa weledi mkubwa ili tuzidi kujifunza.
Zingatia thread haifungamani na dini yoyote maana imani nyingi zimekua zikitumia biblia kama reference

Cc mshana jr DIVINE Heaven Sent
 
Salaamu wanaJf

Matukio ya kupatwa kwa jua na mwezi yamekua yakielezewa kisayansi zaidi wataalamu wa elimu ya jiolojia (Geology)
wamekua wakitoa prove za kisayansi wakati gani na kwanini haya matukio yakitokea.

Leo nitajaribu kuhusisha andiko la biblia na tabia (character) ya kupatwa kwa mwezi na jua vinapotokeo. Binafsi sio mtaalamu wa theolojia (theology) wala jiolojia (geology).

Kwenye kitabu cha biblia Yoeli sura ya 2 mstari wa 30-31(Yoeli 2:30-31) imeandikwa

"30 Nami nitaonyesha mambo ya ajabu katika mbingu na katika dunia, damu, na motor, na minara ya moshi.
31 Jua litageuzwa kuwa giza, na mwezi kuwa damu, kabla haijaja hiyo siku ya BWANA iliyo kuu na itishayo.'

Ikumbukwe kila andiko lenye pumzi ya Mungu ya fahaa kwa mafundisho (2Timotheo 3:16)

Hapa tunaweza kujifunza kumbe tukio la kupatwa kwa jua au mwezi ni jambo la ajabu ambayo dunia imekua ikishangaa na si jambo la kisayansi pekee ata Mungu alishaviongelea.
View attachment 393873
Kama kitendo cha kupatwa kwa jua na jua kua giza View attachment 393875
Na kupatwa kwa mwezi na mwezi kua kama damu

Na wasilisha napendelea tuchangie kwa weledi mkubwa ili tuzidi kujifunza.
Zingatia thread haifungamani na dini yoyote maana imani nyingi zimekua zikitumia biblia kama reference

Cc mshana jr DIVINE Heaven Sent
Imagine hii kitu ilishazungumziwa kwenye Biblia kabla ya maendeleo ya sayansi na teknolojia...kuna cha kutafakari hapa zaidi ya kutafakari
 
mbona sijaona jua kuwa giza..?
 
Simu yako au macho yako mabovu ndugu yangu. Au umeamua kutoona.we hujaona hiyo picha ya kwanza ?ipo wazi kabisa hata kipofu anaweza ona...jamaa unajitia upofu usio na ulazima.

mbona sijaona jua kuwa giza..?
 
Mbona umeto jibu sasa?giza maana yake?usiku tunapataje giza?tumia tu geography ya shule ya msing tu. Hata usiisumbue ya sekondari. Tunapataje usiku na mchana?
Hiyo picha ya kwanza jua limetiwa giza kivipi..? hivi taa ikiwa inawaka alafu ukaikinga hapo ndo taa imepatwa na giza..?
 
Salaamu wanaJf

Matukio ya kupatwa kwa jua na mwezi yamekua yakielezewa kisayansi zaidi wataalamu wa elimu ya jiolojia (Geology)
wamekua wakitoa prove za kisayansi wakati gani na kwanini haya matukio yakitokea.

Leo nitajaribu kuhusisha andiko la biblia na tabia (character) ya kupatwa kwa mwezi na jua vinapotokeo. Binafsi sio mtaalamu wa theolojia (theology) wala jiolojia (geology).

Kwenye kitabu cha biblia Yoeli sura ya 2 mstari wa 30-31(Yoeli 2:30-31) imeandikwa

"30 Nami nitaonyesha mambo ya ajabu katika mbingu na katika dunia, damu, na motor, na minara ya moshi.
31 Jua litageuzwa kuwa giza, na mwezi kuwa damu, kabla haijaja hiyo siku ya BWANA iliyo kuu na itishayo.'

Ikumbukwe kila andiko lenye pumzi ya Mungu ya fahaa kwa mafundisho (2Timotheo 3:16)

Hapa tunaweza kujifunza kumbe tukio la kupatwa kwa jua au mwezi ni jambo la ajabu ambayo dunia imekua ikishangaa na si jambo la kisayansi pekee ata Mungu alishaviongelea.
View attachment 393873
Kama kitendo cha kupatwa kwa jua na jua kua giza View attachment 393875
Na kupatwa kwa mwezi na mwezi kua kama damu

Na wasilisha napendelea tuchangie kwa weledi mkubwa ili tuzidi kujifunza.
Zingatia thread haifungamani na dini yoyote maana imani nyingi zimekua zikitumia biblia kama reference

Cc mshana jr DIVINE Heaven Sent
Kumbe
 
Mbona umeto jibu sasa?giza maana yake?usiku tunapataje giza?tumia tu geography ya shule ya msing tu. Hata usiisumbue ya sekondari. Tunapataje usiku na mchana?
yaonyesha we si muelewa angalia alivyoandika "jua kua giza" kuna tofauti kuziba mwanga wa jua na kuzimika kwa mwanga wa jua,yeye kaeleza kitendo cha kupatwa kwa jua ndio jua kua giza! wakati sivyo pale mwanga wa jua umezibwa it means mwanga bado upo sasa huko sio jua kuwa giza. nadhani utakuwa umenielewa
 
Hiyo picha ya kwanza jua limetiwa giza kivipi..? hivi taa ikiwa inawaka alafu ukaikinga hapo ndo taa imepatwa na giza..?
Ha ha ha..
Kwa hiyo unadhani kuwa jua huzimika usiku na ndo maana kuna giza?
We ni mbishi anayetafuta kuendeleza malumbano pasipo kutumia akili wala kujifunza kupitia mjadala.
 
Ha ha ha..
Kwa hiyo unadhani kuwa jua huzimika usiku na ndo maana kuna giza?
We ni mbishi anayetafuta kuendeleza malumbano pasipo kutumia akili wala kujifunza kupitia mjadala.
sidhani kama wewe ni mgumu kuelewa kiasi hiki...
 
Mi sijaelewa hapo jua kuwa giza au duniani kuwa giza kutokana na mwezi kukinga mwanga wa jua? Mnieleweshe hapo mi sijapata logic.
 
Mada nzuri,pia ikumbukwe mtu anaweza kujiuliza,ikiwa tunaambiwa ktk historia kwamba ilishawahi kutokea tukio kama hili mbona basi hiyo siku ya BWANA haifiki?jibu tunalipata ktk hiyo hiyo Biblia tunapoambiwa kwamba kwa Mungu miaka 1000 ni sawa na usiku mmoja tu.imani yangu inaniambia kuwa,haya matukio ni njia ya Mungu kuzungumza na watu wake moja kwa moja kuwakumbusha kwamba ipo siku ya mwisho na saa hatuijui hivyo tunapaswa tujiandae.
 
Mada nzuri,pia ikumbukwe mtu anaweza kujiuliza,ikiwa tunaambiwa ktk historia kwamba ilishawahi kutokea tukio kama hili mbona basi hiyo siku ya BWANA haifiki?jibu tunalipata ktk hiyo hiyo Biblia tunapoambiwa kwamba kwa Mungu miaka 1000 ni sawa na usiku mmoja...yaani usiku mmoja tu!imani yangu inaniambia kuwa,haya matukio ni njia ya Mungu kuzungumza na watu wake moja kwa moja kuwakumbusha kwamba ipo siku ya mwisho na saa hatuijui hivyo tunapaswa tujiandae.
 
Back
Top Bottom