Andiko lisemalo " Kila nafsi itaonja mauti" ni swali na sio jawabu. Wachina wameanza kujibu. Babu zetu walikaribia kabisa kupata jawabu

Kama kungekuwa na batani ya kukupa thousand likes ningefanya hivyo
 
Acha uongo wewe.
Kinachofanyika unawekewa chip kwenye ubongo inayochukua taarifa zako zote ukifa taarifa zako zinakuwa uploaded kwenye cloud computing server ambavyo wanadai your consciousness inakuwa inaexist kwenye cloud kwahiyo unakuwa hujafa
 
Acha uongo wewe.
Kinachofanyika unawekewa chip kwenye ubongo inayochukua taarifa zako zote ukifa taarifa zako zinakuwa uploaded kwenye cloud computing server ambavyo wanadai your consciousness inakuwa inaexist kwenye cloud kwahiyo unakuwa hujafa
Kwa hiyo hapo unakuwa umekufa au upo hai?
 
Unahitaji vitu vitatu Ili uishi milele (1)kuzuia kuzeeka (2) nguvu(sio hospitalini) ya kuondoa majeraha ya aina yoyote. Yaani kuurudisha mwili kama awali kama vile hujatokewa na chochote (2)nguvu ya kuzuia roho isichomoke

Mwanadamu bado sana kuzuia kifo.
 
Utapeli wao nini?

Au ndio una prove yale niliyo yaandika awali kwamba watu wa dini wana judge from the conclusion instead of towards the conclusion?
In simple ligic mwili unazeeka. Seli za nwili zinazeeka. Ni kudanganyana kudhani hayo yatatokea katika mwili huu wa nyama. Labda kwa marobot kama kwa hao wachina.

Pia umegusia suala la polupation, kwamba itafahamika. Hapo umecheza patapotea. Kwamba itafahamika wakati ukifika? Kwa nini hao wanasayansi wasiplan ahead? Kwamba kwa suala la population itakuwa hivi na vile. Tofauti na hapo ni kama haya ya bwawa la Nyerere tu. Au watu watapewa midawa kuzuia uzazi na ni wateule tu wangeweza kuishi (kama kweli hiyo alinacha ingefanya kazi)

So, ni lazima pawepo na uhamaji toka hali moja kwenda nyingine.
 
Katika kusoma kwangu quraan kuna vitu nimeng'amua, yote yamekuwa sababu yeye kataka yawe(ni elimu hiyo kairuhusu kwetu)
Na sema hivi kwa sababu gani
Kuna aya nimeisahau, inaongelea kuhusu elimu ya roho.
Anamwambia mtume wanakuuliza kuhusu roho, waambie ni jambo ambalo elimu yake ipo kwa mwenyewe muumbaji(kama sijakosea) hapo inaonesha ni kiasi gani hatuwezi jua sababu elimu hiyo katunyima,

Pia katika kisa cha kuumbwa adam, baada ya malaika kuleta bong'o bong'o nyingi kuhusu kuumbwa kwetu sisi, mungu kuwauliza mnajua zaidi yangu etc(nafupisha) mungu alipomaliza kumuumba mwanadamu akampa na elimu ya vitu vyote vya duniani, akawaita malaika kisha akawauliza majina na kazi zake, malaika wakawa hawana elimu hiyo, wakimwambia mungu wewe ndio mjuzi zaidi, kisha mungu akamuuliza bwana adam akawa anajibu, hi inaonesha elimu ni mpaka tupewe(tuko limited)

Jambo la 3 ni kisa cha malaika wawili wale walioleta uchawi haruta na maruta, maana yake ni elimu ambayo hapo kabla haikuwepo, na wakati wanafundisha watu wanawaambia haya ni katika makosa hivyo watu wajilinde wasifanye hayo mambo, ni moja katika mitihani kwetu sisi binadamu.

Jibu la B nalikubali kiasi, japo naamini hii elimu hatotupa ila ataitumia mwenyewe kuturudishia uhai kwenye kiama kisha kutuacha tuishi milele na milele bila maradhi wala kuzeeka.
 
Kufa utakufa hata utunge din yako, utakufa hata ulete mada zenye logic mia , utakufa hata uwe nan hakuna atakaye ishi kama jiwe. Hakuna cha mzungu wala mnyarugusub kifo hakikwepeki achen kudanganyana kama farao kifo ni kufatu basi hakuna kifo kuish

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nayo kamba tu Kama kamba zingine za hapa Jeiefu
 
Hakuna andiko la kila nafsi itaonja mauti kwenye Biblia. Halipo!


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Kwanini usiseme Cell?
 
Tazama BUMUNDA hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…