Anetaka ku apply for 3rd round TCU

Anetaka ku apply for 3rd round TCU

mohammad_othar

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
247
Reaction score
42
Kama kuna mtu hana net au matatizo ya mtandao na yupo mbali na anataka kuapply basi nitumie msg account details zako yaani namba ya mtihani na password na code namba ya course unayotaka au jina la course nitakufanyia hiyo ishu bila shida ... nawasilisha
 
Je,kuna jamaa yangu alijaza open university kimakosa,lakini yeye ni second round,vip apo anaweza pata msaada mkuu?:kev:
 
mkuu course zote? ama?...

Sijakusoma kaka kivp ?yaani kama itakuepo hio course mi ntaeka ila sio kwamba kama mwanzo utachagua unayotaka itakayokwepo ndo unaeza chagua ila sio unayotaka ww
 
je hizi zpo?...
Udom bcom finance
udsm ba economics
mzumbe baf yoyote....
aridh ba economics....je hiz zipo au ni ba fane n performn arts...
 
Kaka tufahamishe, je vp kuhusu mitihani ya watu wazima (more than 25yrs)nimesahau inaitwaje tena..kindly assist on that!!
 
,mimi je nikitaka kuapply tena, japo sikutemwa katika round yoyote?? INAWEZEKANA?
 
,mimi je nikitaka kuapply tena, japo sikutemwa katika round yoyote?? INAWEZEKANA?
mr.cONFIDENT we jiamini tu sababu hata iyo cozy waliyo/watakayo kupangia uliijaza mwenyewe...by the way kwa wale ambao hawajatemwa tayari wameshapangiwa vyuo so ni ngumu sana kubadili kiholela-holela...kama unania thabiti ya kubadili jaribu kufuata utaratibu stahiki uliowekwa na tcu....my thoughts
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom