KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 848
- 191
Ewe:
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Shida ambaye pia ni Ofisa Mwandamizi wa Matatizo ya Ghafla;
Waziri wa Mambo ya Nje wa Mawazo na Ushirikiano wa Kimaskini;
Mwekahazina wa Dhambi;
Mratibu wa Uoga;
Rais Mstaafu wa Mapenzi na Udanganyifu wa Hapa na Pale;
Katibu Mkuu wa Madeni;
Balozi wa Vishawishi na Mkuu wa Malengo Yasiyotimia.
Ukiwa kama mmoja wa watu wanaopenda kujishughulisha,nakuuliza ni yupi kati ya hawa mabosi hapo juu,uko tayari kufanya nae kazi?
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Shida ambaye pia ni Ofisa Mwandamizi wa Matatizo ya Ghafla;
Waziri wa Mambo ya Nje wa Mawazo na Ushirikiano wa Kimaskini;
Mwekahazina wa Dhambi;
Mratibu wa Uoga;
Rais Mstaafu wa Mapenzi na Udanganyifu wa Hapa na Pale;
Katibu Mkuu wa Madeni;
Balozi wa Vishawishi na Mkuu wa Malengo Yasiyotimia.
Ukiwa kama mmoja wa watu wanaopenda kujishughulisha,nakuuliza ni yupi kati ya hawa mabosi hapo juu,uko tayari kufanya nae kazi?