Angalia aina hii mpya ya nyadhifa

Angalia aina hii mpya ya nyadhifa

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
848
Reaction score
191
Ewe:
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Shida ambaye pia ni Ofisa Mwandamizi wa Matatizo ya Ghafla;
Waziri wa Mambo ya Nje wa Mawazo na Ushirikiano wa Kimaskini;
Mwekahazina wa Dhambi;
Mratibu wa Uoga;
Rais Mstaafu wa Mapenzi na Udanganyifu wa Hapa na Pale;
Katibu Mkuu wa Madeni;
Balozi wa Vishawishi na Mkuu wa Malengo Yasiyotimia.

Ukiwa kama mmoja wa watu wanaopenda kujishughulisha,nakuuliza ni yupi kati ya hawa mabosi hapo juu,uko tayari kufanya nae kazi?
 
Back
Top Bottom