stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Sina maneno mengi mimi Angalia mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo umezeeka alafuet bado 40Mimi nimebakisha miaka 40 duh mbona inatisha
2028 haipo mbali we furahi tu badala ya kujipanga 😉Bado saaaana🤣
Cc Atoto
Hiyo 2028 wewe umeitoa wapi?2028 haipo mbali we furahi tu badala ya kujipanga 😉
Halafu sasa siku ya kustaafu ndiyo siku ya tarehe yako ya kuzaliwa....Ukiuona huo mkeka unaweza hisi miaka 20 au 30 ni mingi sana. Ila ipo haja tuanze kujitafakari kwenye hizi ajira zetu aseeh
Nadhani ni kwa sababu wengi taarifa zao za tarehe rasmi ya kuanza ajira haziwepo ndio maana wakatumia birth dateHalafu sasa siku ya kustaafu ndiyo siku ya tarehe yako ya kuzaliwa....
Unasheherekea mara mbili🤣🤣Halafu sasa siku ya kustaafu ndiyo siku ya tarehe yako ya kuzaliwa....
Angalia namba 4 pale 😂Hiyo 2028 wewe umeitoa wapi?
Hii taaarifa ndiyo nazidi kuchoka kabisa🤣🤣🤣Wakati umebakiza miwili, angalau mimi mitatu 🤣🤣
Kwendraaaaa🤣🤣🤣🤣Angalia namba 4 pale 😂