Angalia hapa

Yesar

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
300
Reaction score
17
Huu ndo mchanganuo wa course na sifa zake
1.civil enginearing-hawa hawajawah kuchinja tokea wazaliwe
2.law_wapenda sifa
3.banking and finance_wanapenda kutafuta sifa wakati mshaara wa mbuzi
4.education-wanapenda kujifariji japo hali ni tete kwao
mh kama vp wakuu endelezen nyingne
 
uko darasa la ngapi vile?
haya, hebu nenda kafue nguo zako za shule, umesikia mtoto mzuri?
 
Umeshajisajili kufanya mitihani ya Private Candidate CSEE & QT mwaka huu? Usije kuchelewa humu ukakuta NECTA wameshafunga dirisha.
 
uko darasa la ngapi vile?
haya, hebu nenda kafue nguo zako za shule, umesikia mtoto mzuri?

Tatizo la JamiiForums Kujiunga ni bure nimeshangaa sana kusikia mtoto wa Sister wa miaka kumi na miwili ana ID JF alafu anachangia mada kwenye Jf Docter
 

Hii imekaa kifesibuku-fesibuku vile
 
Karudie Mtihani wa English Language wenzio PC karibuni wataanza kufanya mitihani yao.
 
Sasa ukute lawyer mwenyewe muhaya... mtakwisha kaaaziii... mtapagahwa
 
huu uharo umekaa kama wa nguruwe vile au nyie mnaonaje?
 
au course yako haipo nayo niweke mchanganuo
 

Hivi mtihani mnaanza kesho eh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…