The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Toka Kamala Haris ateuliwe kua mgombea wa Urais Marekani na chama chake cha democrat, jana amefanya public interview ya 3, ya kwanza ilikua ya cnn ambayo alikua na mgombea mwenza wake, interview ilikua edited na scripted ndio ikarushwa ccn
Interview ya pili ilikua debate na Trump ya juzi ambayo kila mtu aliona kwamba Kamala alikua amepewa maswali kabla na pia akalindwa na moderators.
Sasa jana Kamala alifanya interview ambayo haikupangwa, yaani hakua amepewa maswali kabla, mwandishi alimshtukiza tubna kumuuliza maswali ya kawaida lakini majibu yake sasa😂.
Inasemekana chama chake hawataki afanye interview kwa sababu hajui anachoongea na wala hajui kujieleza, ndio maana interview zake ni za mchongo lakini jana akabananishwa. Wakati huo huo Trump kashafanya interview 36.
View: https://x.com/JesseBWatters/status/1834751823002939753?s=19
Interview ya pili ilikua debate na Trump ya juzi ambayo kila mtu aliona kwamba Kamala alikua amepewa maswali kabla na pia akalindwa na moderators.
Sasa jana Kamala alifanya interview ambayo haikupangwa, yaani hakua amepewa maswali kabla, mwandishi alimshtukiza tubna kumuuliza maswali ya kawaida lakini majibu yake sasa😂.
Inasemekana chama chake hawataki afanye interview kwa sababu hajui anachoongea na wala hajui kujieleza, ndio maana interview zake ni za mchongo lakini jana akabananishwa. Wakati huo huo Trump kashafanya interview 36.
View: https://x.com/JesseBWatters/status/1834751823002939753?s=19