Km ni fashion bongo uwa hazidumu kufikia mwaka au zaidi.....mianya ya meno ilikuwa fashion...sura ..maziwa madogo na mengine kibao mwenye kujua wakumbushe dada zetu...leo wanaume TUNATAMANI makalio makubwa ni msimu ACHA upite ukiwa na makalio yako ya kawaida ili fashion ikipita isikuache na madhara kwako!!!