Angalia jinsi Mhe. Makonda akipiga penalty kwa ufundi mkubwa

Leo katika katika tamasha la usalama barabarani lilohudhuriwa na watu mbali mbali ikiwemo viongozi na master lilisindikizwa kwa mchezo wa mpira ambapo mkuu wa mkoa mh paul makonda naye alikuwa miongoni mwa waliocheza

Paul makonda alibahatika kupewa apige penalti lakini huwezi amini hakulenga hata goli ambapo goli kipa aliye kuwa amejianda sana hataaaa hakuzitumia nguvu hizo zaidi ya kushaa ngaa tu na yeye kwa kilicho tokea[emoji4] [emoji4]


Hebu jionee hapa chini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…