Leo katika katika tamasha la usalama barabarani lilohudhuriwa na watu mbali mbali ikiwemo viongozi na master lilisindikizwa kwa mchezo wa mpira ambapo mkuu wa mkoa mh paul makonda naye alikuwa miongoni mwa waliocheza
Paul makonda alibahatika kupewa apige penalti lakini huwezi amini hakulenga hata goli ambapo goli kipa aliye kuwa amejianda sana hataaaa hakuzitumia nguvu hizo zaidi ya kushaa ngaa tu na yeye kwa kilicho tokea[emoji4] [emoji4]
Hahahhahhahaha, huyu Bashite hadhi yake netball tu, jamani sasa penalt gani hiyo jamani ? Halafu eti anashika kichwa baada ya kukosa. Mbavu zangu jamani.