Hii sijui ni comedy au ni reality ila either way hii inajumuisha mustakabali wa miradi mingi ambayo inakuwa chini ya viwango katika nchi za kiafrika kutokana upigaji.
Picha ya siku nyingi hii. Ulikua Huna bundle siku zote hizo? Anyway tuku-brief yaliyojiri ukiwa Offline,
1. DP world wamepewa deal ya bandari,
2. Lema/Lissu wamesharudi toka ukimbizini,
3. Bei ya mafuta umefika 3,300,
4. Dotto Biteko ndio Naibu Waziri Mkuu,
5. Makonda ndio Naibu Mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.