Angalia jinsi uzinduzi wa kufungua daraja ulivyowaibisha hawa vigogo

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hii sijui ni comedy au ni reality ila either way hii inajumuisha mustakabali wa miradi mingi ambayo inakuwa chini ya viwango katika nchi za kiafrika kutokana upigaji.

Your browser is not able to display this video.
 
Picha ya siku nyingi hii. Ulikua Huna bundle siku zote hizo? Anyway tuku-brief yaliyojiri ukiwa Offline,
1. DP world wamepewa deal ya bandari,
2. Lema/Lissu wamesharudi toka ukimbizini,
3. Bei ya mafuta umefika 3,300,
4. Dotto Biteko ndio Naibu Waziri Mkuu,
5. Makonda ndio Naibu Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…