Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Arabian queen

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2016
Posts
2,557
Reaction score
4,824
Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku nikawa chumbani kwangu. Mara simu ýäñgù ikawa inaita. Kucheki namba ngeni. Nikapokea baada ya salamu. Me→nani mwenzangu?? Boss→we hunijui me ?? Me→usinijbu swali kwa swali Nita kublacklist sasa hiv. Sipendagi ujinga.. Kwa sasa nazurura tu mtaani na roba langu La machupa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boss nae hapendagi ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…