greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Katika makadirio ya mataifa yenye uchumi mkubwa barani Afrika kwa mwaka 2024,Taifa letu linashika nafasi ya 10.
Nimeweka orodha ya hizo nchi 10 na chanzo kikubwa cha uchumi wa nchi husika. Pia mwishoni nimeweka na idadi ya watu wa nchi husika
Je, kama taifa tunakosea?
Chanzo cha GDP ni taarifa za IMF.
Nimeweka orodha ya hizo nchi 10 na chanzo kikubwa cha uchumi wa nchi husika. Pia mwishoni nimeweka na idadi ya watu wa nchi husika
- AFRIKA KUSINI Dolla B 401,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,VIWANDA,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,59 Million
- NIGERIA 395,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MAFUTA,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,218
- MISRI 358,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,VIWANDA,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,111
- ALGERIA 239,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MAFUTA ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,44
- ETHIOPIA 192,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,KILIMO ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,123
- MOROCCO 157,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,VIWANDA ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,37
- KENYA 115,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,KILIMO ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,54
- ANGOLA 93,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MAFUTA .......................................................35
- IVORY COAST 87,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,VIWANDA...................................................29
- TANZANIA 86,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,KILIMO............................................................67
Je, kama taifa tunakosea?
Chanzo cha GDP ni taarifa za IMF.