Angalia picha hizi halafu toa maoni yako

Angalia picha hizi halafu toa maoni yako

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mtu huyu anaitwa Martin Mbwana, Hizi ni picha mbili za mtu mmoja kwenye majukumu na maeneo Tofauti .

FB_IMG_1684308935992.jpg
FB_IMG_1684308870763.jpg


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
CCM ni upumbavu
Hawa jamaa kila sehemu wanavuruga tu. Yaani wanatumia kila aina ya mbinu/ushawishi, ili tu kupandikiza mamluki wao. Na wakishamuweka tu, basi chama husika kinageuka na kuwa tawi la ccm.

Kwenye vyama vyote vya wafanyakazi, wameweka takataka zao! Huku kwa wafanyabiashara nako ndiyo hivi! Kwa wale wakulima wenzangu na mimi, ndiyo kabisaaa!!


Hovyo kabisa.
 
Hawa jamaa kila sehemu wanavuruga tu. Yaani wanatumia kila aina ya mbinu/ushawishi, ili tu kupandikiza mamluki wao. Na wakishamuweka tu, basi chama husika kinageuka na kuwa tawi la ccm.

Kwenye vyama vyote vya wafanyakazi, wameweka takataka zao! Huku kwa wafanyabiashara nako ndiyo hivi! Kwa wale wakulima wenzangu na mimi, ndiyo kabisaaa!!


Hovyo kabis
Screenshot_20230517-102632.png
a.
 
Back
Top Bottom