Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38]Huyu ni Pandikizi tu wa ccm. Kamwe hawezi kuwa mtetezi wa wafanyabiashara.
Huyu ni msaliti wa wafanyabiashara, muadabisheni mtakavyojuaMtu huyu anaitwa Martin Mbwana , Hizi ni picha mbili za mtu mmoja kwenye majukumu na maeneo Tofauti .
View attachment 2624931View attachment 2624932
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hawa jamaa kila sehemu wanavuruga tu. Yaani wanatumia kila aina ya mbinu/ushawishi, ili tu kupandikiza mamluki wao. Na wakishamuweka tu, basi chama husika kinageuka na kuwa tawi la ccm.CCM ni upumbavu
kisheria mtu mmoja anaruhusiwa kufanya hivyo ?Mbona hayo ni majina mawili tofauti ya huyo mhusika?
Hawa jamaa kila sehemu wanavuruga tu. Yaani wanatumia kila aina ya mbinu/ushawishi, ili tu kupandikiza mamluki wao. Na wakishamuweka tu, basi chama husika kinageuka na kuwa tawi la ccm.
Kwenye vyama vyote vya wafanyakazi, wameweka takataka zao! Huku kwa wafanyabiashara nako ndiyo hivi! Kwa wale wakulima wenzangu na mimi, ndiyo kabisaaa!!
Hovyo kabisa.
Hapana. Mtu mmoja hawezi kutumia jina zaidi ya moja sehemu tofauti. Lakini, anaruhusiwa kubadili jina kabisa ili aweze tu kulitumia hilo jipya kwa kufuata taratibu na sheria zilizopo.
Sasa hapo tatizo lipo wapi!Mtu huyu anaitwa Martin Mbwana , Hizi ni picha mbili za mtu mmoja kwenye majukumu na maeneo Tofauti .
View attachment 2624931View attachment 2624932
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app