Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Hatukusifu mtu binafsi , tulisifu wafanyabiasharaulimsifia sana leo umemktaa[emoji1787][emoji2161][emoji2161][emoji2161]
Mechi inaendelea kati ya WEZI VS MAJAMBAZI dakika ya 17 ubao bado unasoma 0 bin 0.. kwako mwalimu kashashaMtu huyu anaitwa Martin Mbwana, Hizi ni picha mbili za mtu mmoja kwenye majukumu na maeneo Tofauti .
View attachment 2624931View attachment 2624932
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hilo ndio muhimu zaidi!Mbona hayo ni majina mawili tofauti ya huyo mhusika?
Labda hayo majina Mbwana na Massawe!Sasa hapo tatizo lipo wapi!
Hata hivyo gazeti la mwananchi ni sawa na toilet paperMtu huyu anaitwa Martin Mbwana, Hizi ni picha mbili za mtu mmoja kwenye majukumu na maeneo Tofauti .
View attachment 2624931View attachment 2624932
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
NDIOUlitaka awe kwenye saccos?
Wakatanta the witch. Tulia weweeeHata hivyo gazeti la mwananchi ni sawa na toilet paper
Double standard kwa CCM ni kitu cha kawaida
kishaumbukaDouble standard kwa CCM ni kitu cha kawaida
Ndoivy ssMtu huyu anaitwa Martin Mbwana, Hizi ni picha mbili za mtu mmoja kwenye majukumu na maeneo Tofauti .
View attachment 2624931View attachment 2624932
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Na wa chini aliepiga gwanda za CCM anaitwa Martin Massawe majina hayafanani ni km Ally Kamwe na Privadinyo wanafanana sura Ila majina tofautiMtu huyu anaitwa Martin Mbwana,