Unashangaa nini wakati unaona wazi siku hizi jua linavyopiga balaa.mie mwenyewe shida,nkaongeze tabu za nn.ukija na vx unakuwa tax yangu sipigwi na jua barabarani,kwanini nikukatae?ukitaka kumiliki demu ujue garama zake sio unakuja kichwa kichwa tu.aku babu,uzuri unatunzwa urembo unauzwa barabarani,yanini ukanifubaishe mtoto wa mwenzio!huna vx chukua taimu
magari yote meupe yangu...
Hivyo hivyo bwana, ma VX, Prado, sijui na manini daa, akisimama pembeni yangu tu mi mbio. Mmmmmh!!!
ndio mana yake angekuwa BOSI angeshamwingiza ndani.ukute huyo jamaa dreva tu hapo
eh!!hiyo kali lakini haileweshi..lakini wengine hatudanganyiki kwa VX wala gari aina yoyote kwani tumezichezea hadi tumechoka.s:clap2::laugh:
Huyu dereva tu huoni kitambulisho kifuani kwake.ukute huyo jamaa dreva tu hapo
Huyu dereva tu huoni kitambulisho kifuani kwake.
Sijawahi kuona hiyo
ukute huyo jamaa dreva tu hapo
eh!!hiyo kali lakini haileweshi..lakini wengine hatudanganyiki kwa VX wala gari aina yoyote kwani tumezichezea hadi tumechoka.s:clap2::laugh:
magari yote meupe yangu...
magari yote meupe yangu...
huyu dada kiboko pamoja na kujiwa na cruiser mbona kama hajaelewa somo ? Hahaha!