Angalia Utongozaji wa Siku Hizi

Huyo atakubali iliasaidiwe mzigo aliojitwisha teh teh
 
Mh huyu wa ma vx anadanganywa ila yule wa kuchota maji anapewa ukweli lililo moyoni mwa yule kaka

kweli kabisa Gaga, kama ni mkweli kwanini uje na vx, si lazma aw real? mtu ampende jinsi alivyo na si kwa magari ya kuazima,mwisho wa siku.. ohooo....
 

Nimekupata mwana, shida ya nni? na usafiri wenyewe ulivyowashida, ha ha ha ha
 
kweli kabisa Gaga, kama ni mkweli kwanini uje na vx, si lazma aw real? mtu ampende jinsi alivyo na si kwa magari ya kuazima,mwisho wa siku.. ohooo....

Kwani unafikiri huwa hawataki kuwa real? wanataka sana ila wakijifanya real ndio hupati kitu hapo. Ndio maana watu wanaingia kwa gia ma ma vx. Nasikia mafisadi ni hot case sana
 
Dah! kazi kweli kweli, seriously? no no :blah:
:blah::blah::blah::blah:
 

magari yote meupe yangu...

magari yote yaliyoanza na TZ ni yangu
taa zote za barabaran za mjombangu
magorofa yote yenye lift ya kakangu
wanaume wote wenye vtamb ni kaka zangu
 
magari yote yaliyoanza na TZ ni yangu
taa zote za barabaran za mjombangu
magorofa yote yenye lift ya kakangu
wanaume wote wenye vtamb ni kaka zangu

Na hapo demu anaingia line
 
Wanasema "there are many ways to skin a cat" Kwa hiyo Lengo ni moja ila mbinu zinatofautia.
 
Wadada wengine mradi gari hata kama namba zake ni SU AU STK, yeye anajua la aliemkuta nalo. Haha haaa kweli mshikwa na ngozi ndo mla nyama.
 
Halafu msela kaweka kitambulisho chake kifuani utamwambia nini?
 
magari yote yaliyoanza na TZ ni yangu
taa zote za barabaran za mjombangu
magorofa yote yenye lift ya kakangu
wanaume wote wenye vtamb ni kaka zangu

rose umenikumbusha, kuna mmoja huyo ndani ya nusu saa alikuwa kashajifagilia hadi kaniboa.
Eti ana kampuni, ana stationary, hadware, gari aliyonayo haimtoshi anataka kununua nyingine, ana nyumba kubwa ya vyumba kumi, yupo kwenye ujenzi wa lodge halafu anataka aende nje akachukue vifaa vya ofisi. Mengine ngoja niyamezee.
Haya mambo kumbe yapo bwana. Lol!
 

Duh! Hakusema ana mpango wa kugombea ubunge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…