Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Unyama mwingi sanaTito 3:10
Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;
Unyama mwingi kimoja kinawatoshaUnyama mwingi sana
๐คฃ๐คฃ๐คฃ umeamua kufanya hip hop umetuchana laivu sio?Hii inawahusu dronedrake Mzee wa kupambania Bazazi Ushimen na mshamba_hachekwi
Wazushi sana hao majamaa! Nikiwa na maana wazinguaji ๐
Kwer kabisa sasa ya tatu tunaifanyajeTito 3:10
Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;
Ukimsamehe mara ya kwanza ya pili anakuja kumaliza mzozo afe kipa afe Baki๐Hatari sana
Boss la DP world umetisha saanaTito 3:10
Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;
JoannahVerse ya kijanja sana.....
Bandari zetu achana nazo tutakuua ๐๐๐Naam
sema tito homeboy mnyama sanaTito 3:10
Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;
Siwezi kuwakataa wanangu sana hao! ๐๐พ๐Kama vipi waonye mara yakwanza na yapili, wakizingua wakatae.