Angalia Wakenya zaidi ya 20 wanaishi kwenye daraja la juu, hatarishi, wailalamikia serikali

Jitu jeusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
1,715
Reaction score
2,385
Wanailalamikia serikali, lakini maswali yakujiuliza ni haya

1. Choo kipo wapi?
2. Watoto wanacheza wapi?
3. Maji wanachota wapi?
4. Umeme?

Poleni sana majirani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana Kenya kuna shida ya maisha sana, Naona ni athari za Ubepari.
 
Reactions: UCD
Kwenye nyuzi kama hizi huwezi waona, wanapita kimyakimya.. inasikitisha though kama binadamu wengine wanaishi maisha kama yale ya Mike sonko halafu wengine wanaishi hivi, Mungu anatuona kweli
 
Reactions: UCD
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…