Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,715
- 2,385
Wapo kimya, watakuwa hawana internet bandoNgoja waje waimbe taarabu za kujimwambafai...
Ng'ombe kumchekea ngamia nundu! Uafadhali uwapi kwa hilo? Wote hawana makaazi!WA street wapo karibu kila nchi ila WA kwa IDR!? Flyovers! ? Hapana, shame on you lot!
Shemeji zetu tumewapa Tausi. Unga na tukwenda kuwajengea nyumba..
Kwenu hamna flyover wanalala barabaraniWA street wapo karibu kila nchi ila WA kwa IDR!? Flyovers! ? Hapana, shame on you lot!
HAKUNA NA Hakujawahi kuwa na mtu mwenye akili timamu duniani anayeweza kuishi mabarabarani Kama makazi. Njaa inawasumbua Sana, kubali hill, Wacha ubishi kijana.Kwenu hamna flyover wanalala barabarani
Hawa wanalala kwako?HAKUNA NA Hakujawahi kuwa na mtu mwenye akili timamu duniani anayeweza kuishi mabarabarani Kama makazi. Njaa inawasumbua Sana, kubali hill, Wacha ubishi kijana.