maisha magumu, na kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake, kama kazi yako ni baa utakata chenj za wateja, mwalimu tuition na vitotoos, beki tatu kwenye ununuzi wa maitaj home, ofisini ndo basi, embu leteni picha hayo majamaa ya vijisenti, wa south africa na uswisi walikua wanachukua vyao. acheni uonevo kwa polisi bhana!