Angalieni TANESCO walivyokua na dharau, wamenibadilishia mita bila ya kunijulisha na wananipa ahadi za uongo

Angalieni TANESCO walivyokua na dharau, wamenibadilishia mita bila ya kunijulisha na wananipa ahadi za uongo

pye Chang shen

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
11,422
Reaction score
6,108
Kwanza wamenibadilishia mita bila ya kunijulisha mteja wao, pili dharau kejeli na uongo nilipowasiliana nao, tatu ahadi za uongo, inne huduma mbovu.

Majina ya customer care ninayo, muda na namba na tiketi za report ninazo, namba za simu za mafundi walioniahidi wanakuja ndani ya saa 24 ninayo.

Ajabu baada ya saa 24 kila nikifuatilia naambiwa tunatoa report upya sasa kwa style hii si tutafika hata mwaka sijapata huduma?

Kiboko yao alikuwa magu tu
@ tanesco
Sasa rasmi natamani aje magu mwengine
#tanesco
TANESCO
 
Mbona Mimi walinitafuta na wakaniambia wako kwenye zoezi la kutaka kubadilisha mita zote za zamani?
 
Mbona Mimi walinitafuta na wakaniambia wako kwenye zoezi la kutaka kubadilisha mita zote za zamani?
Hongera yako, mimi wala mita hajaitoa na nilipowaeleza customer care wakasema sio lazima waitoe ni mfumo tu wanabadilisha
Ndio wakanitajia nba mpya
 
bila umeme wa uhakika hakuna maendeleo na ni kipimo tosha cha utawala mbovu.
 
Kila nikiulizia wananipa namba mpya ya taarifa, nikiwauliza si tayari ninayo namba wananikatia simu au wanajibu hiyo hatuioni
 
Back
Top Bottom