ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 235
Jamani watumiaji wa vodacom ikifika saa 11 jioni gharama ni zilezile msijisahau nasikitika kwanini voda hawakutangaza kuwa mwisho ni saa 11 jioni hii imenikuta mimi baada yakuongea najua naongea kwa sh 60 kwa dk kumbe naongea kwa 4** kwa dk nikajikuta nimemaliza pesa yangu yoote kwenye simu.