Angalizo: Chonde Chonde Makolo msing'oe viti mkifungwa kwa Mkapa leo!

Angalizo: Chonde Chonde Makolo msing'oe viti mkifungwa kwa Mkapa leo!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Leo ndiyo siku ambayo wale Waarabu kutoka Libya Al Ahli Tripoli waliotua nchini kupambana na Simba wanatarajiwa kuonyesha kandanda la kibabe kwa kupata ushindi mnono ugenini!

Ushauri kwa Wana Lunyasi wote ni kuwa wavumilivu uwanjani, msing'oe viti wala kutoroka! Tunategemea mtaendelea kushangilia kwa nguvu hadi kipenga cha mwisho bila kujali matokeo ya uwanjani!

Simba Nguvu Moja!
 
Leo ndio leo, na hivi mliwazuia wasibebe ubwabwa wao waje wale, mtawakoma
 
Leo ndiyo siku ambayo wale Waarabu kutoka Libya Al Ahli Tripoli waliotua nchini kupambana na Simba wanatarajiwa kuonyesha kandanda la kibabe kwa kupata ushindi mnono ugenini!

Ushauri kwa Wana Lunyasi wote ni kuwa wavumilivu uwanjani, msing'oe viti wala kutoroka! Tunategemea mtaendelea kushangilia kwa nguvu hadi kipenga cha mwisho bila kujali matokeo ya uwanjani!

Simba Nguvu Moja!
Akili mimavi ndio hii

Mtu anaamka na halluuufu halluuufu
 
Leo ndiyo siku ambayo wale Waarabu kutoka Libya Al Ahli Tripoli waliotua nchini kupambana na Simba wanatarajiwa kuonyesha kandanda la kibabe kwa kupata ushindi mnono ugenini!
Mwendawazimu mwenzio huyu hapa:

1727018683482.png
 
Leo ndiyo siku ambayo wale Waarabu kutoka Libya Al Ahli Tripoli waliotua nchini kupambana na Simba wanatarajiwa kuonyesha kandanda la kibabe kwa kupata ushindi mnono ugenini!

Ushauri kwa Wana Lunyasi wote ni kuwa wavumilivu uwanjani, msing'oe viti wala kutoroka! Tunategemea mtaendelea kushangilia kwa nguvu hadi kipenga cha mwisho bila kujali matokeo ya uwanjani!

Simba Nguvu Moja!
Teh teh teh 😃 😃 😃
 
Wazee wa shot on target mbona siwaoni wakianzisha nyuzi za mada yao pendwa?

Vipi vichaka mnavyofyeka, mmekutana na vyura wangapi huko?
 
Wazee wa shot on target mbona siwaoni wakianzisha nyuzi za mada yao pendwa?

Vipi vichaka mnavyofyeka, mmekutana na vyura wangapi huko?

Huo ndio uhalisia wa timu yenu bila ndumba haiendi ila ukweli ni kwamba mkikutana na timu ambayo ni ngumu na wana uzoefu hautoboi tutaona kama utavuka robo kwa style hiii
 
Ro
Huo ndio uhalisia wa timu yenu bila ndumba haiendi ila ukweli ni kwamba mkikutana na timu ambayo ni ngumu na wana uzoefu hautoboi tutaona kama utavuka robo kwa style hiii
Roho unakuma sana ulitaman tutoke laikn wap sa hz unakimbilia robo,,mara oooh mnaenda kufyeka kichaka cha rank vp mafyekeo yamepotea au😁🙃🙃
 
Back
Top Bottom