Kwahiyo ndgu zetu waarabu ndio wafungwe sio??Japo si vizuri, ila nataman sana Simba wafungwe leo
Akili mimavi ndio hiiLeo ndiyo siku ambayo wale Waarabu kutoka Libya Al Ahli Tripoli waliotua nchini kupambana na Simba wanatarajiwa kuonyesha kandanda la kibabe kwa kupata ushindi mnono ugenini!
Ushauri kwa Wana Lunyasi wote ni kuwa wavumilivu uwanjani, msing'oe viti wala kutoroka! Tunategemea mtaendelea kushangilia kwa nguvu hadi kipenga cha mwisho bila kujali matokeo ya uwanjani!
Simba Nguvu Moja!
CrapNi ushauri tu kumbuka tunaandaa uwanja kwa ajili ya Afcon!
Mabululu...#Team_Mabululu
Mwendawazimu mwenzio huyu hapa:Leo ndiyo siku ambayo wale Waarabu kutoka Libya Al Ahli Tripoli waliotua nchini kupambana na Simba wanatarajiwa kuonyesha kandanda la kibabe kwa kupata ushindi mnono ugenini!
Teh teh teh π π πLeo ndiyo siku ambayo wale Waarabu kutoka Libya Al Ahli Tripoli waliotua nchini kupambana na Simba wanatarajiwa kuonyesha kandanda la kibabe kwa kupata ushindi mnono ugenini!
Ushauri kwa Wana Lunyasi wote ni kuwa wavumilivu uwanjani, msing'oe viti wala kutoroka! Tunategemea mtaendelea kushangilia kwa nguvu hadi kipenga cha mwisho bila kujali matokeo ya uwanjani!
Simba Nguvu Moja!
Yuko mahala amepakatwa na Shabiki wa Simba.Huyu jamaa yupo apa kaenda libya
Wazee wa shot on target mbona siwaoni wakianzisha nyuzi za mada yao pendwa?
Vipi vichaka mnavyofyeka, mmekutana na vyura wangapi huko?
Roho unakuma sana ulitaman tutoke laikn wap sa hz unakimbilia robo,,mara oooh mnaenda kufyeka kichaka cha rank vp mafyekeo yamepotea auπππHuo ndio uhalisia wa timu yenu bila ndumba haiendi ila ukweli ni kwamba mkikutana na timu ambayo ni ngumu na wana uzoefu hautoboi tutaona kama utavuka robo kwa style hiii
ππ mafyekeo yaliwapotea wana utoWazee wa shot on target mbona siwaoni wakianzisha nyuzi za mada yao pendwa?
Vipi vichaka mnavyofyeka, mmekutana na vyura wangapi huko?