Angalizo: Kuweni makini na wafanyakazi wa Kimalawi, wamekuwa wezi kila sehemu

Angalizo: Kuweni makini na wafanyakazi wa Kimalawi, wamekuwa wezi kila sehemu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Angalizo tu
HABARINI za asubuhi kwa ujumla
Naamini wote mmeamka wazima WA afya

Najua hili n kwa wote WANAHITAJI wafanyakazi WA nyumbani

Lakini haswaa wale NDUGU ZANGU WA kawe mbezi beach makonde nk mnaoendaga pale kawe kutafuta wafanyakazi WA Malawi WA kuwasaidia nyumban
Aka wanyasa

Hawa watu wamekuwa wazurii sana enzi hizo sasaa wameingiwa na Pepo la wiziii

Hili Pepo limehamia hadi wamalawi waishiyo mbezi beach YAAN ukiweka mmalawi NDAN ukamwachia nyumba

Usishangae utakachokutana nacho namaanisha mnyoshooo WA haja

Hapa jirani kuna mama aliwabeba mtu na mkewe akawatafutia chumba jirani akawalipia

Wale vijana wamepiga kazi miaka miwili mama akawamamini akaenda Arusha amewachia nyumba

Jana ANARUDI anapiga mwanangu UKo wapi NKAMWAMBIA home njoo

Dah KWENDA wale wahuni wamevunja mlango WA mama wamelamba kama dollar 1200
Anaonyesha SEHEMU zingine Mungu amemsairia

hawakupaona akanihesabia dollar 25'000. Dah sema HATA iweje palikuwa NGUMU kujua kuna helà

Wamemchukulia manguo yake mazuri viatu nk

NKaishia kumpa poleeee

Sasa nilipocheka AKAOMBA nimpeleke akaripoti SERKL za mitaa na polisi akanipa funguo nkawasha moto huyooo SERKL za mitaa

Duh pale tumekutana na kesi ZINGINE tatu za wanyasa wamewaibia wenye nyumba

So wakati wanaelezea nkasikia kama nachela ikabidi ntoke Nje nkacheke kivyangu nkarudi ndani

YAAN HUYO mwingine wameleta na kirikuu nae hivi hivi kasafiri ameishia nao miaka 3 wamemsafisha barabaraaaa

Nawashauri tu najua tuliwaamini sana wanyasa kwa sasa sio WATU wema kabisa YAAN wale wameishia kuwa wazuri kwenye mapenzi kama anakupa penzi mnyooshe wanalinda ndoa nyingi sana za kwenye magetimbezi beach

Kama bado UKo nao nikujuze ishi nao kwa akiliiii usiangalie umekaa nao miaka mingapi wakigeuka chatu hawaangalii miaka uliyoishi NAYO Wala wema uliowatendea
Nb:
Sio WOTE wabaya asilimia KUBWA wamegeuka wexi

All dbest
 
Adui wa binadamu ni binadamu mwenyewe.

Tumejawa chuki, husda, ubinafsi, unafiki, uzandiki, wivu usio na kichwa wala miguu na uchawi juu.

Trust No one, even your shadow. Don't relax, be alert all the time.

Vita ni vita Muraa.!
 
Adui wa binadamu ni binadamu mwenyewe.

Tumejawa chuki, husda, ubinafsi, unafiki, uzandiki, wivu usio na kichwa wala miguu na uchawi juu.

Trust No one, even your shadow. Don't relax, be alert all the time.

Vita ni vita Muraa.!
Aisee mkuu Hawa waliaminika mbaya asikwambis mtu muraaa kwa kweli wale mabinti wengine wanasaidia sana ndoa ZETU sema shetani aliewaingia WA WIZI HATA ukihondomola nao inabidi uweke pochiyako chini ya godorooooooooo
 
Inasikitisha sana
YAAN waliaminika sana kiasi wanakodiwa chumba wanakula kwa bosi kama una mke anachukua mpaka na mkeo mnafanya wote
Loh
Yule mama waliempiga wakajaza kirikuu mpaka sura imekuwa nyekundu
 
Angalizo tu
HABARINI za asubuhi kwa ujumla
Naamini wote mmeamka wazima WA afya

Najua hili n kwa wote WANAHITAJI wafanyakazi WA nyumbani

Lakini haswaa wale NDUGU ZANGU WA kawe mbezi beach makonde nk mnaoendaga pale kawe kutafuta wafanyakazi WA Malawi WA kuwasaidia nyumban
Aka wanyasa

Hawa watu wamekuwa wazurii sana enzi hizo sasaa wameingiwa na Pepo la wiziii

Hili Pepo limehamia hadi wamalawi waishiyo mbezi beach YAAN ukiweka mmalawi NDAN ukamwachia nyumba

Usishangae utakachokutana nacho namaanisha mnyoshooo WA haja

Hapa jirani kuna mama aliwabeba mtu na mkewe akawatafutia chumba jirani akawalipia

Wale vijana wamepiga kazi miaka miwili mama akawamamini akaenda Arusha amewachia nyumba

Jana ANARUDI anapiga mwanangu UKo wapi NKAMWAMBIA home njoo

Dah KWENDA wale wahuni wamevunja mlango WA mama wamelamba kama dollar 1200
Anaonyesha SEHEMU zingine Mungu amemsairia

hawakupaona akanihesabia dollar 25'000. Dah sema HATA iweje palikuwa NGUMU kujua kuna helà

Wamemchukulia manguo yake mazuri viatu nk

NKaishia kumpa poleeee

Sasa nilipocheka AKAOMBA nimpeleke akaripoti SERKL za mitaa na polisi akanipa funguo nkawasha moto huyooo SERKL za mitaa

Duh pale tumekutana na kesi ZINGINE tatu za wanyasa wamewaibia wenye nyumba

So wakati wanaelezea nkasikia kama nachela ikabidi ntoke Nje nkacheke kivyangu nkarudi ndani

YAAN HUYO mwingine wameleta na kirikuu nae hivi hivi kasafiri ameishia nao miaka 3 wamemsafisha barabaraaaa

Nawashauri tu najua tuliwaamini sana wanyasa kwa sasa sio WATU wema kabisa YAAN wale wameishia kuwa wazuri kwenye mapenzi kama anakupa penzi mnyooshe wanalinda ndoa nyingi sana za kwenye magetimbezi beach

Kama bado UKo nao nikujuze ishi nao kwa akiliiii usiangalie umekaa nao miaka mingapi wakigeuka chatu hawaangalii miaka uliyoishi NAYO Wala wema uliowatendea
Nb:
Sio WOTE wabaya asilimia KUBWA wamegeuka wexi

All dbest
Wanachimbo lao wanafikiaga pale mandazi road msasani wana confidence kuliko hata watanzania wenye NIDA 😁
 
Na lingine Kiko kawe MWAMBAA Hilo jion HATA kama UNATAKA vipozeoooo mashallah mapemaa
Pia wana kijiwe kikubwa maeneo ya Chama Mikocheni, ukivuka upande wa pili wa Tanesco.
 
Angalizo tu
HABARINI za asubuhi kwa ujumla
Naamini wote mmeamka wazima WA afya

Najua hili n kwa wote WANAHITAJI wafanyakazi WA nyumbani

Lakini haswaa wale NDUGU ZANGU WA kawe mbezi beach makonde nk mnaoendaga pale kawe kutafuta wafanyakazi WA Malawi WA kuwasaidia nyumban
Aka wanyasa

Hawa watu wamekuwa wazurii sana enzi hizo sasaa wameingiwa na Pepo la wiziii

Hili Pepo limehamia hadi wamalawi waishiyo mbezi beach YAAN ukiweka mmalawi NDAN ukamwachia nyumba

Usishangae utakachokutana nacho namaanisha mnyoshooo WA haja

Hapa jirani kuna mama aliwabeba mtu na mkewe akawatafutia chumba jirani akawalipia

Wale vijana wamepiga kazi miaka miwili mama akawamamini akaenda Arusha amewachia nyumba

Jana ANARUDI anapiga mwanangu UKo wapi NKAMWAMBIA home njoo

Dah KWENDA wale wahuni wamevunja mlango WA mama wamelamba kama dollar 1200
Anaonyesha SEHEMU zingine Mungu amemsairia

hawakupaona akanihesabia dollar 25'000. Dah sema HATA iweje palikuwa NGUMU kujua kuna helà

Wamemchukulia manguo yake mazuri viatu nk

NKaishia kumpa poleeee

Sasa nilipocheka AKAOMBA nimpeleke akaripoti SERKL za mitaa na polisi akanipa funguo nkawasha moto huyooo SERKL za mitaa

Duh pale tumekutana na kesi ZINGINE tatu za wanyasa wamewaibia wenye nyumba

So wakati wanaelezea nkasikia kama nachela ikabidi ntoke Nje nkacheke kivyangu nkarudi ndani

YAAN HUYO mwingine wameleta na kirikuu nae hivi hivi kasafiri ameishia nao miaka 3 wamemsafisha barabaraaaa

Nawashauri tu najua tuliwaamini sana wanyasa kwa sasa sio WATU wema kabisa YAAN wale wameishia kuwa wazuri kwenye mapenzi kama anakupa penzi mnyooshe wanalinda ndoa nyingi sana za kwenye magetimbezi beach

Kama bado UKo nao nikujuze ishi nao kwa akiliiii usiangalie umekaa nao miaka mingapi wakigeuka chatu hawaangalii miaka uliyoishi NAYO Wala wema uliowatendea
Nb:
Sio WOTE wabaya asilimia KUBWA wamegeuka wexi

All dbest
Mbona wazungu hawawaibii?
 
Pia wana kijiwe kikubwa maeneo ya Chama Mikocheni, ukivuka upande wa pili wa Tanesco.
Mkuu
Wana hadi dalali wao mkuu

Huyu huwaleta Toka kule na wakikwamba huwasiliana immigration wanapita
 
Wakija UNATAKA kazi unakabidhi passport kwao WANAKUPA kazi iba uone
 
Back
Top Bottom