Salam kwenu watanzania wenzangu,
Pole kwa familia na jamii yetu kama Watanzania kwa kufiwa na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.
Nianze kwa kusema sina nia mbaya yeyote bali ni kutoa angalizo tu kama Mtanzania mwingine yeyote
Binafsi niwashukuru watu wote waliojitoa kusaidia misaada ya vifaa au fedha kwa tatizo tunalokabikiana nalo la COVID-19
Lakini ni muhimu kwa taasisi zetu zinzopokea hii misada kuangalia vizuri na kufanya uhakiki wa vifaa hivi, ni kweli dunia Ina Mambo mengi na wakati mwingine kumjua adui si rahisi sana, unaweza pokea zawadi kumbe ndio inakusindikiza pabaya, muhimu ni kuwa makini ipasavyo.
Kuwa na wasiwasi ni jambo la kawaida linaloashiria mtu kuwa makini zaidi kwa kile anachokiona kwa wasiwasi huo
Hayati Magufuli alitutahadharisha sana kuhusu misaada ya vifaa kama barakoa, naamini serikali yetu mko makini kwa jambo hilo, na tunawaamini katika hilo.
Kila la kheri kwa wasimamizi wa taasisi zetu.
Mwisho kwa wale waliotoa msaada wa barakoa Nyamagana asanteni sana.
Pole kwa familia na jamii yetu kama Watanzania kwa kufiwa na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.
Nianze kwa kusema sina nia mbaya yeyote bali ni kutoa angalizo tu kama Mtanzania mwingine yeyote
Binafsi niwashukuru watu wote waliojitoa kusaidia misaada ya vifaa au fedha kwa tatizo tunalokabikiana nalo la COVID-19
Lakini ni muhimu kwa taasisi zetu zinzopokea hii misada kuangalia vizuri na kufanya uhakiki wa vifaa hivi, ni kweli dunia Ina Mambo mengi na wakati mwingine kumjua adui si rahisi sana, unaweza pokea zawadi kumbe ndio inakusindikiza pabaya, muhimu ni kuwa makini ipasavyo.
Kuwa na wasiwasi ni jambo la kawaida linaloashiria mtu kuwa makini zaidi kwa kile anachokiona kwa wasiwasi huo
Hayati Magufuli alitutahadharisha sana kuhusu misaada ya vifaa kama barakoa, naamini serikali yetu mko makini kwa jambo hilo, na tunawaamini katika hilo.
Kila la kheri kwa wasimamizi wa taasisi zetu.
Mwisho kwa wale waliotoa msaada wa barakoa Nyamagana asanteni sana.