DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,591
- 1,719
Kama mwanamichezo ningependa kutoa dukuduku langu ambalo linanikera hasa kwa club hii.
Nimekuwepo hapa tanga kwa mwezi mzima sasa na hua natembelea mazoezi ya timu mbalimbali pindi wakiwa hapa.
Coastal union imekua haina matokeo mazuri katika msimu huu.kuna mambo nataka niwaambie viongozi wao ambayo nahisi ni chanzo cha matokeo mabovu.
Niseme wazi nidhamu ya kambi ya coastal union iliyopo mikanjuni transfoma karibu na kanisa la sabato ni mbovu kupindukia.Unakutana na wachezaji saa sita au saba usiku wako na wanawake mitaani sasa unajiuliza wanapumzika saa ngapi?
Pili ulaji wa mirungi na uvutaji wa bangi umekisiri hasa nyakati za jioni na usiku.Haya yote yanachangia sana kuiua ile timu.
Kama viongozi mtakua serious na kuipenda timu yenu badala ya kufuruhia mapato tu mkayarekebisha haya coastal itabadilika soon.
Nawasilisha
Nimekuwepo hapa tanga kwa mwezi mzima sasa na hua natembelea mazoezi ya timu mbalimbali pindi wakiwa hapa.
Coastal union imekua haina matokeo mazuri katika msimu huu.kuna mambo nataka niwaambie viongozi wao ambayo nahisi ni chanzo cha matokeo mabovu.
Niseme wazi nidhamu ya kambi ya coastal union iliyopo mikanjuni transfoma karibu na kanisa la sabato ni mbovu kupindukia.Unakutana na wachezaji saa sita au saba usiku wako na wanawake mitaani sasa unajiuliza wanapumzika saa ngapi?
Pili ulaji wa mirungi na uvutaji wa bangi umekisiri hasa nyakati za jioni na usiku.Haya yote yanachangia sana kuiua ile timu.
Kama viongozi mtakua serious na kuipenda timu yenu badala ya kufuruhia mapato tu mkayarekebisha haya coastal itabadilika soon.
Nawasilisha