Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,871
- 1,237
wanajamii,
Nimeona niwataarifu WANAJAMII tatizo hili linaloweza kukupata pindi utumiapo NMB mobile kununua say LUKU. Jana nili-login kununua umeme nikapata alert SMS kuwa NOT AVAILABLE, nikajaribu tena kwa mara ya pili nikaambiwa NOT AVAILABLE.
Asubuhi leo nitaangalia salio kwenye akaunt yangu nikakuta wamepunguza kiasi nilichokuwa nimetaka kununua LUKU mara mbili (maana nilijaribu mara mbili). Nikawapigia kuwauliza mbona hela zangu mmekata wakati alert SMS ilikuwa inasema NOT AVAILABLE! Wakasema kuwa kulikuwa na tatizo la SMS. KUMBE WALISHAKATA HELA YANGU. wakaniomba niwape namba yangu ya simu wanitumie namba za LUKU, wakafanya hivyo.
KUWENI MACHO KAMA HIYO ITAKUTOKEA
Nimeona niwataarifu WANAJAMII tatizo hili linaloweza kukupata pindi utumiapo NMB mobile kununua say LUKU. Jana nili-login kununua umeme nikapata alert SMS kuwa NOT AVAILABLE, nikajaribu tena kwa mara ya pili nikaambiwa NOT AVAILABLE.
Asubuhi leo nitaangalia salio kwenye akaunt yangu nikakuta wamepunguza kiasi nilichokuwa nimetaka kununua LUKU mara mbili (maana nilijaribu mara mbili). Nikawapigia kuwauliza mbona hela zangu mmekata wakati alert SMS ilikuwa inasema NOT AVAILABLE! Wakasema kuwa kulikuwa na tatizo la SMS. KUMBE WALISHAKATA HELA YANGU. wakaniomba niwape namba yangu ya simu wanitumie namba za LUKU, wakafanya hivyo.
KUWENI MACHO KAMA HIYO ITAKUTOKEA