Angalizo: Mafuta ya kuotesha nywele na mafuta ya kuotesha ndevu ni vitu viwili tofauti

Angalizo: Mafuta ya kuotesha nywele na mafuta ya kuotesha ndevu ni vitu viwili tofauti

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
3,644
Reaction score
4,315
Baada ya kutumia muda mwingi kutafiti [kigooglegoole] masuala ya nywele na upara na mambo yanayohusiana na hayo, basi leo nimehamishia udadisi wangu JF.

Katika kupitiapitia baadhi ya nyuzi nimegundua kuna watu hasa kwa kutojua wamekuwa wakishauri vitu kuhusiana na upara katika namna inayokanganya.

Zaidi ya mara moja nimekuta mtu akipendekeza mafuta ya kuotesha/kukuza ndevu kama dawa ya uwalaza.

Ni kitu haiingii akilini maana hata wewe ukivuta picha ya mtu yeyote mwenye uwalaza huwa unakuta ana ndevu nyingi nzuri zinang'aa na zimeshiba! Ni kwa nini!? Ni kwa sababu inasemekana kile kihomoni kinachoharibu nywele kichwani nsicho hichohicho haswaa kinachopendezesha nywele kidevuni!!

Kwa mantiki hiyo basi inakuwa ni ngumu kupata mafuta ambayo hapohapo yakuze ndevu na hapohapo yazuie upara. Sayansi bado inaendelea kuchunguza haya mambo yanaendaje endaje. Hicho kihomoni kinaitwa Dihydrotestosterone [DHT]

Kama kawaida uzi bila kapicha!

businessman-4455089_1920.jpg


Kwa wenye tatizo la upara, na tishio la kupata upara ushauri [kulingana na kinachojulikana hadi sasa] watumie mafuta ya mbegu za maboga yalochanganywa na mnyonyo kupaka kichwani.

Pia wapendelee kutumia/kutafuna mbegu za maboga kama chakula maana tafiti mbalimbali zimeonesha ni kitu nzuri kwa ajili ya kulinda tezi dume na upotevu wa nywele.
Atakayefanikiwa kufanya hivyo atumie kwa miezi mitatu hadi sita kisha atupe mrejesho hapa.
 
Baada ya kutumia muda mwingi kutafiti [kigooglegoole] masuala ya nywele na upara na mambo yanayohusiana na hayo, basi leo nimehamishia udadisi wangu JF.

Katika kupitiapitia baadhi ya nyuzi nimegundua kuna watu hasa kwa kutojua wamekuwa wakishauri vitu kuhusiana na upara katika namna inayokanganya.

Zaidi ya mara moja nimekuta mtu akipendekeza mafuta ya kuotesha/kukuza ndevu kama dawa ya uwalaza.

Ni kitu haiingii akilini maana hata wewe ukivuta picha ya mtu yeyote mwenye uwalaza huwa unakuta ana ndevu nyingi nzuri zinang'aa na zimeshiba! Ni kwa nini!? Ni kwa sababu inasemekana kile kihomoni kinachoharibu nywele kichwani nsicho hichohicho haswaa kinachopendezesha nywele kidevuni!!

Kwa mantiki hiyo basi inakuwa ni ngumu kupata mafuta ambayo hapohapo yakuze ndevu na hapohapo yazuie upara. Sayansi bado inaendelea kuchunguza haya mambo yanaendaje endaje. Hicho kihomoni kinaitwa Dihydrotestosterone [DHT]

Kama kawaida uzi bila kapicha!

View attachment 2229362

Kwa wenye tatizo la upara, na tishio la kupata upara ushauri [kulingana na kinachojulikana hadi sasa] watumie mafuta ya mbegu za maboga yalochanganywa na mnyonyo kupaka kichwani.

Pia wapendelee kutumia/kutafuna mbegu za maboga kama chakula maana tafiti mbalimbali zimeonesha ni kitu nzuri kwa ajili ya kulinda tezi dume na upotevu wa nywele.
Atakayefanikiwa kufanya hivyo atumie kwa miezi mitatu hadi sita kisha atupe mrejesho hapa.
Shida ni kwamba watu wenye upara hawwna upara kichwa kizima,wanakua na upara sehemu moja ya kichwa na sehemu nyingine nywele zimejaa vizuri kama vile pembeni ya kichwa.

So kama tatizo ni DHT ndio inaleta upara kwa nini hiyo DHT ichague katikati ys kichwa tu na pembeni ya kichwa iache ?

Mimi nina imani kubwa kwwba Dht haisababishi upara ni mawwzo tu ya wataalamu ambao yana haki ya kupingwa.
Watu wenye vipara wanakuwa na nywele nyingi tu sehemu zingine za mwili.
 
Shida ni kwamba watu wenye upara hawwna upara kichwa kizima,wanakua na upara sehemu moja ya kichwa na sehemu nyingine nywele zimejaa vizuri kama vile pembeni ya kichwa.

So kama tatizo ni DHT ndio inaleta upara kwa nini hiyo DHT ichague katikati ys kichwa tu na pembeni ya kichwa iache ?

Mimi nina imani kubwa kwwba Dht haisababishi upara ni mawwzo tu ya wataalamu ambao yana haki ya kupingwa.
Watu wenye vipara wanakuwa na nywele nyingi tu sehemu zingine za mwili.
Yas kuna wakati hata mie huwaza hivyo kwamba kuna sababu nyingine tu inayopelekea. Haimake perfect sense DHT iboreshe nywele za kidevuni halafu hapohapo iharibu nwele za kichwani!

Hata mie nilishaidoubt hiyo nadharia mda tu, maelezo zaidi niliandika kwa hii article EWE MWANAMKE, EWE MWANAUME MAFUTA HAYA NDO MWISHO WA MATATIZO UJUE!? NAZUNGUMZIA KUOTESHA NYUSI, NDEVU, NYWELE NA KOPE BILA KUACHA TISHIO LA UPARA (HAIR LOSS) HASAA ULE WA MAPEMA. – Sahili
 
Tafuta haya mafuta bro kama una upara na ndevu zisizo na afya alafu uje kubadilisha mada
Nadhani bongo hamna hapo dzonga ni rand 300 tu
Screenshot_20221107-215352_1.jpg
 
Back
Top Bottom