Angalizo: Mashine ya mafuta inapotoa hewa badala ya mafuta

w0rM

Member
Joined
May 3, 2011
Posts
81
Reaction score
192
Wanajamvi habari za muda huu,

Kituo kimoja cha mafuta huko nchi za wenzetu kimeshtukiwa tabia yake ya wizi wa mafuta katika kuwajazia watu mafuta kwenye gari ambao mashine ya mafuta inahesabu huku mafuta yanayoingia ni kidogo sana.

Kuna kipindi Dar es Salaam hapa kulikuwa na mtingo kama huu sijui ulipotea au ndio watu waliacha kufuatilia. Unajaza mafuta unaona mshale haujasogea kabisa kumbe umewekewa hewa.

Your browser is not able to display this video.
 
Sasa unaweka mafuta ya elfu 10 unataka gauge isome 1/2 tank.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…