Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimewaza ujingaNikilala nimefumba macho face inafanya kazi?
Heri we umewazanimewaza ujinga
Wewe una iPhone. Wakati nipo A level shuleni nilikuwa na Infinix, kuna dogo alikuwa form four anafungua simu yangu kwa face unlock. Na tunafanana kwa mbali sana hata sio nduguHeri we umewaza
Nmejaribu tu hapa kufumba macho imenigomea 😁
Kumbe na wewe una wasiwasi?Nikilala nimefumba macho face inafanya kazi?
Inategemea na settings za simu ya kwangu nimesett nikifumba macho face haifungukiNikilala nimefumba macho face inafanya kazi?
Nmejaribu hapa kufumba macho af nikayafumbua kwa mbaliiii, imegoma 😂Kumbe na wewe una wasiwasi?
Inascan sura haiscan macho. Japo macho yakiwa wazi ni rahisi sana. Sema tu ikitokea ukajilaza mwenzio anasogeza simu kuscan au anakuvuta vidole
Nimewaza vipi kama mtu alichukua sura yako fb huko kaenda kuiprint na kuja kubeba simu yako ajaribu kuifungua.
Hehee mbona balaa hiyo 😂Wewe una iPhone. Wakati nipo A level shuleni nilikuwa na Infinix, kuna dogo alikuwa form four anafungua simu yangu kwa face unlock. Na tunafanana kwa mbali sana hata sio ndugu
VilivyomoAnatafuta nn hicho mpaka ahangaike hivyo?
Ujue acha bangi! 😂😂😂Nmejaribu hapa kufumba macho af nikayafumbua kwa mbaliiii, imegoma 😂
😂😂 nilijaribu ili nipate mfano hai… ngoma imenichomolea.Ujue acha bangi! 😂😂😂
Nimeimagine unavyofanya nimecheka sana.
Mi yangu bila macho kuwa wazi hufungui.
Dogo wangu alikuwa anafungua infix hot 7 yangu aiserWewe una iPhone. Wakati nipo A level shuleni nilikuwa na Infinix, kuna dogo alikuwa form four anafungua simu yangu kwa face unlock. Na tunafanana kwa mbali sana hata sio ndugu
Sasa hapo sawa. Si umeshaona bila kufumbua haikubali? Jiachie. Usishangae upo usingizini hujui hili wala lile,unashushia kipigo kitakatifu bila kuelewa kuna nini. Ukiuliza,utaambiwa subili kukuche ndo tutawekana sawaNmejaribu hapa kufumba macho af nikayafumbua kwa mbaliiii, imegoma 😂