philipo njovu
Senior Member
- Dec 30, 2016
- 181
- 115
Kabla hujafanya maamuzi ya kuwa na watoto /Familia fahamu hili..
Watoto wamekuwa ni hazina na faraja ya wanawake uzeeni lakini faraja ya kudumu ya mwanaume uzeeni imekuwa ni mali zake alizotafuta ujanani.
Wanaume tutafuteni pesa zitufariji baadae,waacheni wanawake washindane na akili zao... Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu maana alipewa hiyo nafasi na Mungu mwenyewe hata zipite Karne kwa Karne 50/50 haitatokea, wanaume Wala msiumize vichwa.
Watoto wamekuwa ni hazina na faraja ya wanawake uzeeni lakini faraja ya kudumu ya mwanaume uzeeni imekuwa ni mali zake alizotafuta ujanani.
Wanaume tutafuteni pesa zitufariji baadae,waacheni wanawake washindane na akili zao... Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu maana alipewa hiyo nafasi na Mungu mwenyewe hata zipite Karne kwa Karne 50/50 haitatokea, wanaume Wala msiumize vichwa.