Angejua that she is still the one after looong time....

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Dah natamani huyu mwanamke angejua kwamba after all those years she is still the only woman i ever think and dream damn!
 
can she read minds? if nt, u gotta tell her buddy,b4 somebody else does.
I know she got somebody else now and believe me i know that but i dont want to hear it from her. I cent tell her........
 
she is lucky, i hope unamwambia pia, maana wanaume wengine wakipenda hawasemi kwa muhusika, ila kwa watu wengine
 
utaendelea muwaza mpaka lin...?... msiingilie ndoa za wa2 bana
 
she is lucky, i hope unamwambia pia, maana wanaume wengine wakipenda hawasemi kwa muhusika, ila kwa watu wengine
Namwambia sana tu lakini u know why we cant go back together? Tunaogopa kuumizana coz time has passed now na tumebadilika kwa kiasi fulani na we dont wanna destroy the memory we had
 
utaendelea muwaza mpaka lin...?... msiingilie ndoa za wa2 bana
Hahahahahaaa its just memomoir, but from the bottom of my heart huyu ndo mtu peke yake anayeweza kunibadili mwelekeo very easily
 
hbu kaseme nae wacha woga mtto wa kiume..................
 
We utachelewa na utakuta mwingine kashaazima jamvi. Japo ana mtu sema kile unachoamini
 
We utachelewa na utakuta mwingine kashaazima jamvi. Japo ana mtu sema kile unachoamini
Nshasema brother na najua she feels the same japo kidogo but the prob ni kwamba we both dont wanna go more than that
 
Then its ur time now. Just make a move. Don't waste that precious time u have with her to express ur feelings
 
Nshasema brother na najua she feels the same japo kidogo but the prob ni kwamba we both dont wanna go more than that
<br />
<br />
kwani ana m2 mwingne kwa sasa?
 
Mwambie bana usisubiri hisani ya watu wa Marekani bro!
 
I believe so but i dont wanna hear it, especially from her
<br />
<br />
i had the same case,dem wangu wa utoton 2lipotezana ka 8yrz,nimemit nae tena last yr,ye alikua na mshkaji wake mwingne tayar bt alnambia hawakuwa na mahusiano mazur,so nikajaribu kumvuta kwangu,nae akazielewa hisia zangu,sa hz 2ko wote na maisha yanaendelea fresh 2.so we shangaa shangaa,itakula kwako mazima mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…