Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Kwa wasiolewa kingereza maandishi yanaelezea jinsi huyo dada anamzuga mumewe kapokea simu kumbe hajapokea.
Simu hiyo ni ya mchepuko anaogopa angesikika, cheki jamaa alivyotega sikio
angalia kwa makini kwenye kioo cha simu haijapokelewa.