Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Demu wako ni team tamthilia za Ki philipino!dah nikiona hivo nakumbuka tukio la kupasuliwa simu na demu wangu dadeki
Safi sana mkuu! Huo ujinga nimeshaukataa kabisa japo bado sijajua hata nitaoa mwaka gani. Siwezi nikawa nakaa na mtu ambaye anafichaficha simu yake, mtu wa namna hiyo ni adui mkubwa sana kwangu. Ni uboya sana kumpa mtu uhuru wa kukumaliza.Wanaume tuwe makini na simu za hawa wanawake. Ukiona password kibao, pia yuko busy kuchat tambua kuna walakini hapo.
Haya mambo ya mtu eti ana privacy yake usishike simu mi kwangu ni marufuku.
Duh!!!!View attachment 639243 kwa wasiolewa kiingereza maandishi yanaelezea jinsi huyo dada anamzuga mumewe kapokea simu kumbe hajapokea..Simu hiyo ni ya mchepuko anaogopa angesikika..
Cheki jamaa alivyotega skio
Angalia kwa makini kwenye kioo cha simu haijapokelewa
Pamoja sana mkuu.Safi sana mkuu! Huo ujinga nimeshaukataa kabisa japo bado sijajua hata nitaoa mwaka gani. Siwezi nikawa nakaa na mtu ambaye anafichaficha simu yake, mtu wa namna hiyo ni adui mkubwa sana kwangu. Ni uboya sana kumpa mtu uhuru wa kukumaliza.