Angekuwa mkeo ungemfanyaje??sad news

Post natal depression. Ndo kwa maana huchargiwa na infanticide na sio murder. Na omba radhi kwa Kiswahili changu. Nime join forum hii ili ni ongeze umarufuu kwa lugha. Mimi ni mkenya
Lakini si mnautangazia ulimwengu kuwa chimbuko la kiswahili ni kenya?
 
:shock:Sad news natumai sheria itachukua mkondo wake, ila wanaume pia tumekuwa chanzo kikubwa cha mambo haya.
 
Inasikitisha sana...inawezekana ana matatiizo kwani ni vigumu kwa mtu ambaye kabeba ujauzito miezi 9 uchungu wa kujifungua then aue mtoto.
 
Kwani kazaa nanani kama vipi wakamatwe tu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…